Kwahiyo serikali imeshindwa kulinda uwanja wake wa Mkapa Hadi wakodi makomandoo wa Yanga

Kwahiyo serikali imeshindwa kulinda uwanja wake wa Mkapa Hadi wakodi makomandoo wa Yanga

Wazolee

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2018
Posts
3,183
Reaction score
3,660
Hi nchi Ina vituko sana
Uwanja ni mali ya serikali alafu maamuzi ya ulinzi yanayohusu uwanja yanatolewa na makomandoo wa Yanga

Ilitakiwa Simba walipofika uwanjani wakutane na walinzi wa uwanja waliowekwa na mmiliki wa uwanja wa Mkapa ambaye ni serikali ndio wawambie hichi mnaruhusiwa kuingia nacho na hichi hamruhusiwi kuingia nacho

Lakini Cha kushangaza hiyo kazi ilifanywa na makomandoo wa Yanga walinzi wa uwanja wapo wapi?

Mimi Kuna siku walinzi wa uwanja walinizuia nisiingie na chupa sikumbuki ilikuwa chupa ya Nini Wala sikushangaa Kwa sababu walikuwa wanatimiza majukumu yao
Ila kame wangekuwa makomandoo wa Yanga nisinge waelewa maana sio kazi yao
 
Hilo nalo likatizamwee na lifanyiwee kaziiii
 
Ina maana simba haina makomando mkono upigwe na hao makomando wa yanga?
 
Hii nchi nayo inashangaza kuwa na uwanja mmoja tu wa mkapa, ilitakiwa iwe na viwanja mikoa yote kuwe na uwanja kama wa mkapa. Umasikini mbaya sana. Timu nazo zinatakiwa ziwe na viwanja bora vyenye hadhi ya FIFA kama viwanja vya old trafford, emirate, stanford bridge. nou camp, bernabeau. etihad, san siro, signal iduna, alianz arena. st.mary's, white lane na vingine vingi vya timu. Ni azam na KMC tu ndio timu zenye viwanja vyao vinavyoeleweka japo kwa haddhi ya TFF
 
Hi nchi Ina vituko sana
Uwanja ni mali ya serikali alafu maamuzi ya ulinzi yanayohusu uwanja yanatolewa na makomandoo wa Yanga

Ilitakiwa Simba walipofika uwanjani wakutane na walinzi wa uwanja waliowekwa na mmiliki wa uwanja wa Mkapa ambaye ni serikali ndio wawambie hichi mnaruhusiwa kuingia nacho na hichi hamruhusiwi kuingia nacho

Lakini Cha kushangaza hiyo kazi ilifanywa na makomandoo wa Yanga walinzi wa uwanja wapo wapi?

Mimi Kuna siku walinzi wa uwanja walinizuia nisiingie na chupa sikumbuki ilikuwa chupa ya Nini Wala sikushangaa Kwa sababu walikuwa wanatimiza majukumu yao
Ila kame wangekuwa makomandoo wa Yanga nisinge waelewa maana sio kazi yao
Ulitakiwa ujiulize kwanza ni kwa nini na kwenye mechi ya mzunguko wa kwanza, makomandoo wa simba na wenyewe walichukua jukumu kama hilo hilo la kuulinda huo uwanja, na pia ni kwa nini Yanga hawakwenda kufanya "mazoezi ya mwisho" kama timu mgeni! Au kususia mechi.
 
Selikali ya Tanganyika Hakuna Inalo weza.

Mfano. wanataka Kununua Umeme kutoka Ethiopia.

Bwawa la Mwalimu Nyerere lilikuwa ni Uongo mtupu hakuna kitu pale.
 
Ulitakiwa ujiulize kwanza ni kwa nini na kwenye mechi ya mzunguko wa kwanza, makomandoo wa simba na wenyewe walichukua jukumu kama hilo hilo la kuulinda huo uwanja, na pia ni kwa nini Yanga hawakwenda kufanya "mazoezi ya mwisho" kama timu mgeni! Au kususia mechi.
Kwahiyo unakubaliana na Mimi kuwa serikali imeshindwa kulinda uwanja wake wa Mkapa ndio maana Huwa vinaibuka tu vikundi na kuuteka uwanja na kujipa jukumu la ulinzi

Hi nchi Ina vilaza wengi sana

Ulishawahi kusikia uwanja wa San silo unalindwa na makomandoo wa AC Milan au Inter Milan?
 
Ulitakiwa ujiulize kwanza ni kwa nini na kwenye mechi ya mzunguko wa kwanza, makomandoo wa simba na wenyewe walichukua jukumu kama hilo hilo la kuulinda huo uwanja, na pia ni kwa nini Yanga hawakwenda kufanya "mazoezi ya mwisho" kama timu mgeni! Au kususia mechi.
Ushirikina tu, makomandoo wa Yanga walienda kulinda matunguli waliyofukia wakitegemea yatawapa ushindi,Simba nao walienda kufukua matunguli ya Yanga, Yanga walioba hawawezi kushinda bila matunguli na kuruka ukuta,si ajabu Yanga kujitapa kuifunga Simba goli 7 wakati wamepigwa na Tabora
 
Hizo timu za Simba na Yanga zilipaswa kuwa na viwanja vyao kutegemea kiwanja kimoja ni utumwa yaani Yanga akiwahi anaweka mamluki wake kuwazuia wa Simba wasiingie na Simba nao hivyo pia,
Ila kama kila timu ingekuwa na uwanja wake ni ruksa kuweka makomandoo wazuie watu wasiingie sasa uwanja wa taifa makomandoo wa Yanga sijui wamefikaje hapo
 
Back
Top Bottom