Kwahiyo sie chadema tunafurahia sana kuwasagia wenzetu kunguni?

Kwahiyo sie chadema tunafurahia sana kuwasagia wenzetu kunguni?

Omopa

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2022
Posts
335
Reaction score
1,466
Kuhusu hili tukio la wale watumishi wa Afya ya zahanati moja huko Tabora nimeona media zote za chadema wanamsagia kunguni aisee kwahiyo sie chadema tunaona raha kuharibu vitumbua vya wenzentu?

Chadema kulikuwa na haja gani ya kupost vile bila kufatilia chanzo chake? Na kwanini imetokea vile? Sie wanachadema tubadilike bwana hapo tu hatujachukua nchi je tukichukua nchi si tutakuwa zaidi ya ccm? Tubadilike bwana wanachadema.
 
Kuhusu hili tukio la wale watumishi wa Afya ya zahanati moja huko Tabora nimeona media zote za chadema wanamsagia kunguni aisee kwahiyo sie chadema tunaona raha kuharibu vitumbua vya wenzentu?

Chadema kulikuwa na haja gani ya kupost vile bila kufatilia chanzo chake? Na kwanini imetokea vile? Sie wanachadema tubadilike bwana hapo tu hatujachukua nchi je tukichukua nchi si tutakuwa zaidi ya ccm? Tubadilike bwana wanachadema.
Aliyewasimamisha kazi ni CHADEMA?
Wewe unaunga mkono kilichotokea na kinavhofanywa na Watumishi wa Afya kutumia vifaa vilivyoisha Muda wake?
Tupe msimamo wako.
 
Kuhusu hili tukio la wale watumishi wa Afya ya zahanati moja huko Tabora nimeona media zote za chadema wanamsagia kunguni aisee kwahiyo sie chadema tunaona raha kuharibu vitumbua vya wenzentu?

Chadema kulikuwa na haja gani ya kupost vile bila kufatilia chanzo chake? Na kwanini imetokea vile? Sie wanachadema tubadilike bwana hapo tu hatujachukua nchi je tukichukua nchi si tutakuwa zaidi ya ccm? Tubadilike bwana wanachadema.

Uchama unaingiaje hapo kwenye hilo suala?
 
Kuhusu hili tukio la wale watumishi wa Afya ya zahanati moja huko Tabora nimeona media zote za chadema wanamsagia kunguni aisee kwahiyo sie chadema tunaona raha kuharibu vitumbua vya wenzentu?

Chadema kulikuwa na haja gani ya kupost vile bila kufatilia chanzo chake? Na kwanini imetokea vile? Sie wanachadema tubadilike bwana hapo tu hatujachukua nchi je tukichukua nchi si tutakuwa zaidi ya ccm? Tubadilike bwana wanachadema.

Unaona vizuri mwanamke kuwaua wanawake Wenzake? Tena wanawake wajawazito, kwa kupimwa malaria na kifaa kilikwisha muda?.

Halafu ni wapi CHADEMA wametoa official statement kuhusu Hilo Jambo. Yaleyale ya diamond , kafungiwa na TRA lawama kawatupia upinzani.
 
Back
Top Bottom