GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Wananchi waache kuwa na lawama kwa sababu serikali yao iko makini sana katika kufanya tathmini ni aina gani ya mkopo iingie nchi yetu na ina tija gani kwa maslahi ya Taifa letu,"- Naibu Waziri wa Fedha Hamad Chande.
Chanzo: EastAfricaTV
Kama kuna mwaka ambao Tanzania ( Taifa ) letu hili limepata bahati mbaya kuwa na 'Mawaziri' wa 'Fedha' ni miaka hii.
Chanzo: EastAfricaTV
Kama kuna mwaka ambao Tanzania ( Taifa ) letu hili limepata bahati mbaya kuwa na 'Mawaziri' wa 'Fedha' ni miaka hii.