Mwanakulitafuta, mwanakulipata, piga hao kama paka mwizi, ijumaa saa 7 mchana ndio tutaanza kuzungumza lugha ambayo tutaelewana.
Sirro amekwisha sema tii sheria bila shuruti. Wanakulitafuta msiwasikilize deko hao.
Piga wachakae, sisi tuna hitaji kuwa salama na nchi yetu hao waliotumwa na basha zao kina Ámsterdam tusiwasikilize wataharibu uchaguzi.