Kwaini mashabiki wengi wanaichukia sana Arsenal?

Kwaini mashabiki wengi wanaichukia sana Arsenal?

canfi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2022
Posts
1,368
Reaction score
1,477
Nimefuatilia reactions za mashabiki wengi duniani juu ya matokeo ya mechi baina ya Man city vs Arsenal kupitia media mbalimbali, nimegundua kuwa wengi wamefurahi sana Man city kusawazisha bao na hivyo kutoka sare ya 2-2.
Inafahamika kuwa Man city hawana fan base kubwa ukilinganisha na timu kama Arsenal, Man utd na hata Chelsea. Sasa najiuliza, nn kipo nyuma ya furaha iliyopitiliza baada ya Man city kusawazisha?
 
Wengi ni mashabiki wa Kenge na Manyumbu. Huwezi kuta shabiki wa Liverpool anashingilia Man City kupata point, kwa sababu ni rahisi kupambana na Arsenal kwenye mbio za ubingwa kuliko Man City.

In short wanaitafuta furaha kinguvu.
 
Nimefuatilia reactions za mashabiki wengi duniani juu ya matokeo ya mechi baina ya Man city vs Arsenal kupitia media mbalimbali, nimegundua kuwa wengi wamefurahi sana Man city kusawazisha bao na hivyo kutoka sare ya 2-2.
Inafahamika kuwa Man city hawana fan base kubwa ukilinganisha na timu kama Arsenal, Man utd na hata Chelsea. Sasa najiuliza, nn kipo nyuma ya furaha iliyopitiliza baada ya Man city kusawazisha?
Halaand anawanyooshea watu mikeka yao
 
Wengi ni mashabiki wa Kenge na Manyumbu. Huwezi kuta shabiki wa Liverpool anashingilia Man City kupata point, kwa sababu ni rahisi kupambana na Arsenal kwenye mbio za ubingwa kuliko Man City.

In short wanaitafuta furaha kinguvu.
Inawezekana
 
Quality Arsenal na Liverpool ndio timu zenye class pale uingereza hao wengine makelele tu wanajiandikiza kwa city, lakin kwa difense ya sasa ya Arsenal wakiwa wazima full. Hakuna atakaye pata goli zaidi ya moja per game na hapo nazungumzia timu class Kama Liver,city na Aston villa
 
Wengi ni mashabiki wa Kenge na Manyumbu. Huwezi kuta shabiki wa Liverpool anashingilia Man City kupata point, kwa sababu ni rahisi kupambana na Arsenal kwenye mbio za ubingwa kuliko Man City.

In short wanaitafuta furaha kinguvu.
Hao ni mashabiki wa Man U
 
Alafu nyie mashabiki wa bongo mbona mnapenda sana kukariri mambo. Man city ameanza kufanya vizuri miaka ya 2011-2012. Ambapo kwa hesabu za haraka ni zaidi ya miaka 14 sasa wanafanya vizuri. Watoto wanzaliwa wanakua hadi kumaliza la saba. Kila mwaka ilikua inaongeza mashabiki wapya either vijana wadogo wanaoanza kuangalia mpira au mamluki waliokimbia mateso kwenye timu. Hizo habari za Man city hana mashabiki dogo labda huko kijijini kwenu. Ila huku mjini tunao mashabiki wengi na kila siku wanaongezeka. Hizo kauli za kijinga kila mwaka Man city hana mashabiki. Ulishawahi kuona wapi timu ikawa inafanya vizuri na isipate mashabiki. Tembea mdogo wangu pata exposure utawaona hao mashabiki wa city.
 
Kwanini wewe wakati Arsenal inachukua kombe ulikuwa na miaka mingapi?
 
Manyumbu hao na refa wao wa mchongo yule.
Msimu huu city hatumuachii ndoo
 
Wengi ni mashabiki wa Kenge na Manyumbu. Huwezi kuta shabiki wa Liverpool anashingilia Man City kupata point, kwa sababu ni rahisi kupambana na Arsenal kwenye mbio za ubingwa kuliko Man City.

In short wanaitafuta furaha kinguvu.
Wapo wapumbavu wa punda wanalazimisha rivalry na Arsenal
 
Back
Top Bottom