Kwako dada Lady jay dee

Kwako dada Lady jay dee

Habari yako Dada mkubwa?
Pole na majukumu ya ujenzi wa Taifa, hasa majukumu yako mazito ya kutupa burudani Watanzania tunao kadiliwa milion 55.

Dada wewe ni dada mkubwa sana hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla, tafadhali tupe neno mioyo yetu ipone maana hali nini tete na ukizingatia wewe ni mwana Dar es salaam original.

Pili naleta ombi langu kwako tafadhali sana, fanya ukomavu wa kiutu uzima nenda kawape pole Clouds maana hii vita ni kubwa sana.

Tusahau yaliopita tuje kwa upamoja kwa faida ya Watanzania.
Mwisho kabisa nawapenda sana Watanzania wenzangu hasa wa Jamiiforum maana ni zaidi ya ndugu.
Mmh! vipi wewe kwanza ndugu umeshaenda kuwapa pole mawingu fm?
 
Koma mbwa wewe, lady jaydee mama ako? Una hadhi ya kuzaliwa na jide? Angekua mama ako c ungelinga, mama ako yuko sitimbi huko analima mihogo, mkome jide
Dooh[emoji15]

Ubuyu uliokula Leo Wa vimto binamu[emoji14]
 
wapuuzi wote ulishawai kumuona jde kwenye shukhuli yoyote ya kijamii
 
Habari yako Dada mkubwa?
Pole na majukumu ya ujenzi wa Taifa, hasa majukumu yako mazito ya kutupa burudani Watanzania tunao kadiliwa milion 55.

Dada wewe ni dada mkubwa sana hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla, tafadhali tupe neno mioyo yetu ipone maana hali nini tete na ukizingatia wewe ni mwana Dar es salaam original.

Pili naleta ombi langu kwako tafadhali sana, fanya ukomavu wa kiutu uzima nenda kawape pole Clouds maana hii vita ni kubwa sana.

Tusahau yaliopita tuje kwa upamoja kwa faida ya Watanzania.
Mwisho kabisa nawapenda sana Watanzania wenzangu hasa wa Jamiiforum maana ni zaidi ya ndugu.
Duh na we we kwa utumbo ???
 
Yeye alivyotumbuliwa kwenye sekta ya mapenzi kuna serikali, taasisi au mtu binafsi alienda kumpa pole. Hata Harmorapa hakwenda, mwachen jide apumzike.


Kila mtu atabeba msalaba wake.
 
36ed8f3c9c9c620892e754518a1b7b1c.jpg
 
Mbona Diamond hajaenda kuwapa pole? na kila siku anapeleka domo lake pale clouds lakini yupo upande wa Makonda
 
Back
Top Bottom