Uko sahihi.
Je ratiba inaruhusu? Nahisi al hilal kwao hata ligi haijaanza, hivyo kusaka hizo game ni sahihi kwao, ikiwa ratiba inaruhusu si dhambi yanga kutafuta game ya kirafiki, ikiwa ratiba hairuhusu haina haja ya kuforce, wataharibu.
[emoji1]Usifanye hivo mkuuMnaenda kukutana na ngumi inaitwa ndoige
Hapana mkuu,Uzi wa uchuro huu
Leo nina wasiwasi mnooUmetoa hoja ya maana, lakini cha ajabu anayekupinga ni Yanga mwenzako..! Sijui ni Uoga
Wasi wasi ndio akili