Kwako Engineer Hersi Said na uongozi wetu hapo Jangwani

Kwako Engineer Hersi Said na uongozi wetu hapo Jangwani

Simba SC atacheza na hao Asante kotoko pamoja Al Hilal kujiimarisha.Nyie uto kachezeni na Ruvu shooting na Ihefu mjipigie 9 buyu.
Plan za yanga hazimuhusu Kima yoyote, sio kila timu ikifanya hivi ,yanga aige, no
Yanga Ina plan kubwa na mwaka huu ndio mtajua Nini hasa viongozi na timu wamepanga
Plan ya kwanza ilikuwa kubeba vikombe vyote vya ndani na kupata nafasi ya kimataifa ,tumefanikiwa kwa 100%
Pili tupo na malengo ya kimataifa na ligi tutafanikiwa pia,
Hao wanakwenda kujiuza nje huko ,wamefeli kila kitu wamebaki Domo, baada ya mwaka huu hawatakuwa na mdomo Tena zaidi ya kulaumu kocha na wachezaji
 
Kesho kocha Florent Ibenge ataiongoza Al Hilal [emoji1232] kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Asante Kotoko [emoji1110]. Ni maandalizi Kuelekea mchezo wao wa klabu bingwa Afrika dhidi ya ST. George ya Ethiopia [emoji1098]

Msindi baina ya ST. George dhidi ya Al Hilal atakutana na mshindi baina ya Young Africans [emoji1241] dhidi ya Zalan FC [emoji1223].

Je, sisi YANGA, tuna mkakati gani hadi sasa? Tutafte hata timu kama AS Vita au Sagrada Esperanca tujipime.


Ukiona mwenzio anyoa, wewe tia majiView attachment 2332063
Hela zote mlimaliza ligi kuu msimu uliopita mkapata kombe kimichongomichongo mnakuja kulia lia hapa ...CAF ndio kipimo pekee cha kujua kuwa SIMBA SC au YANGA Sc ipi ni timu bora. Enjoy!
 
Kesho kocha Florent Ibenge ataiongoza Al Hilal [emoji1232] kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Asante Kotoko [emoji1110]. Ni maandalizi Kuelekea mchezo wao wa klabu bingwa Afrika dhidi ya ST. George ya Ethiopia [emoji1098]

Msindi baina ya ST. George dhidi ya Al Hilal atakutana na mshindi baina ya Young Africans [emoji1241] dhidi ya Zalan FC [emoji1223].

Je, sisi YANGA, tuna mkakati gani hadi sasa? Tutafte hata timu kama AS Vita au Sagrada Esperanca tujipime.


Ukiona mwenzio anyoa, wewe tia majiView attachment 2332063
Sisi Yanga malengo tuliyojiwekea ya kumfunga Simba tumeshayafikia na kupita hayo mengine ni mbwembwe tu hatuna muda mchafu huo .
 
Plan za yanga hazimuhusu Kima yoyote, sio kila timu ikifanya hivi ,yanga aige, no
Yanga Ina plan kubwa na mwaka huu ndio mtajua Nini hasa viongozi na timu wamepanga
Plan ya kwanza ilikuwa kubeba vikombe vyote vya ndani na kupata nafasi ya kimataifa ,tumefanikiwa kwa 100%
Pili tupo na malengo ya kimataifa na ligi tutafanikiwa pia,
Hao wanakwenda kujiuza nje huko ,wamefeli kila kitu wamebaki Domo, baada ya mwaka huu hawatakuwa na mdomo Tena zaidi ya kulaumu kocha na wachezaji
Mkuu nahifadhi hii kwaajili ya kumbukumbu. Endapo nasisi Yanga tutacheza hatua ya makundi klabu bingwa. Ila niseme tu mchezo wa mpira wa miguu una njia zake za kupita ili uwe na timu bora. Sioni timu yetu ikipita kwenye hizo njia ili nasi tufurukute kimataifa. Timu ya Simba wanachokifanya ni kuishi katika njia za mchezo wa mpira wa miguu hata ikitokea wameshindwa kusonga mbele mashabiki wao watasema ni bahati mbaya. Ila timu ya Yanga inakosa mipango, mikakati na maono juu ya michuano ya kimataifa. Ngoja tuone
 
Plan za yanga hazimuhusu Kima yoyote, sio kila timu ikifanya hivi ,yanga aige, no
Yanga Ina plan kubwa na mwaka huu ndio mtajua Nini hasa viongozi na timu wamepanga
Plan ya kwanza ilikuwa kubeba vikombe vyote vya ndani na kupata nafasi ya kimataifa ,tumefanikiwa kwa 100%
Pili tupo na malengo ya kimataifa na ligi tutafanikiwa pia,
Hao wanakwenda kujiuza nje huko ,wamefeli kila kitu wamebaki Domo, baada ya mwaka huu hawatakuwa na mdomo Tena zaidi ya kulaumu kocha na wachezaji
Eee kama vipers na rivers alivyowapelekea moto
 
Nmejaribu kutumia kiwango cha chini kabisa cha uelewa wangu bado nme shindwa ku match na wewe ! Get off my way
Kosa lako ni kutumia kiwango cha chini kabisa cha uelewa wako, wakati hata kwa kiwango chako cha juu kabisa bado usingeelewa.
 
Hela zote mlimaliza ligi kuu msimu uliopita mkapata kombe kimichongomichongo mnakuja kulia lia hapa ...CAF ndio kipimo pekee cha kujua kuwa SIMBA SC au YANGA Sc ipi ni timu bora. Enjoy!
Tulia mkuu mbona unatusingizia
 
Mkuu nahifadhi hii kwaajili ya kumbukumbu. Endapo nasisi Yanga tutacheza hatua ya makundi klabu bingwa. Ila niseme tu mchezo wa mpira wa miguu una njia zake za kupita ili uwe na timu bora. Sioni timu yetu ikipita kwenye hizo njia ili nasi tufurukute kimataifa. Timu ya Simba wanachokifanya ni kuishi katika njia za mchezo wa mpira wa miguu hata ikitokea wameshindwa kusonga mbele mashabiki wao watasema ni bahati mbaya. Ila timu ya Yanga inakosa mipango, mikakati na maono juu ya michuano ya kimataifa. Ngoja tuone
Very true
 
Mkuu nahifadhi hii kwaajili ya kumbukumbu. Endapo nasisi Yanga tutacheza hatua ya makundi klabu bingwa. Ila niseme tu mchezo wa mpira wa miguu una njia zake za kupita ili uwe na timu bora. Sioni timu yetu ikipita kwenye hizo njia ili nasi tufurukute kimataifa. Timu ya Simba wanachokifanya ni kuishi katika njia za mchezo wa mpira wa miguu hata ikitokea wameshindwa kusonga mbele mashabiki wao watasema ni bahati mbaya. Ila timu ya Yanga inakosa mipango, mikakati na maono juu ya michuano ya kimataifa. Ngoja tuone
Leo jioni ndo tutapata jibu la uhakika

Sent from my G3121 using JamiiForums mobile app
 
Plan za yanga hazimuhusu Kima yoyote, sio kila timu ikifanya hivi ,yanga aige, no
Yanga Ina plan kubwa na mwaka huu ndio mtajua Nini hasa viongozi na timu wamepanga
Plan ya kwanza ilikuwa kubeba vikombe vyote vya ndani na kupata nafasi ya kimataifa ,tumefanikiwa kwa 100%
Pili tupo na malengo ya kimataifa na ligi tutafanikiwa pia,
Hao wanakwenda kujiuza nje huko ,wamefeli kila kitu wamebaki Domo, baada ya mwaka huu hawatakuwa na mdomo Tena zaidi ya kulaumu kocha na wachezaji
Sawa mkuu, ngoja leo tupate majibu ya uhalisia

Sent from my G3121 using JamiiForums mobile app
 
Uko sahihi.

Je ratiba inaruhusu? Nahisi al hilal kwao hata ligi haijaanza, hivyo kusaka hizo game ni sahihi kwao, ikiwa ratiba inaruhusu si dhambi yanga kutafuta game ya kirafiki, ikiwa ratiba hairuhusu haina haja ya kuforce, wataharibu.
Sawa sawa mkuu

Sent from my G3121 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom