Mkuu sio "nyumba ya kupanga" ni chumba cha kupanga au hujamuelewa mtoa mada.. Hana hadhi ya kupanga nyumba kwa sasa kwani kafulia hana kitudah! miaka yote ya uigizaji bado anakaa kweny nyumba za kupanga hiv hawa watu pesa wanapeleka wapi
Miss you more ila usije ukawa ulijiingiza kwa hawa watu eti naskia wanakukwangua unabaki na kucha tu[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Nimekumic haswa topr mm hawa nawajua Sana. Wanapenda maisha ya kijuu mno. Ndo maana nimemshauri Jamaa awe anampa hela waende klabu kula bata huko ili yeye apate usingizi na wenzie
Hahahahahaaha! Wanakwangua haswaaa! Kucha hata ubakiwi nayo. Siwezi kujiingiza kwao mm!Miss you more ila usije ukawa ulijiingiza kwa hawa watu eti naskia wanakukwangua unabaki na kucha tu[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Aisee usiingie maana utakosa ata bando ya kuingia umu jr niwe nakuona mwenzio maana ukiishiwa akawii kukwambiaHahahahahaaha! Wanakwangua haswaaa! Kucha hata ubakiwi nayo. Siwezi kujiingiza kwao mm!
Hahaha! Hawawezi kunishika kiasi hicho bhanah!!.. Siku hizi umeadimika Sana wewe mwanamke. Sijui uncle karudi kutoka America.?topr said:Aisee usiingie maana utakosa ata bando ya kuingia umu jr niwe nakuona mwenzio maana ukiishiwa akawii kukwambia
Baby uza basi iyo simu yako unipe ata ela jioni kesho kuna paty ya wema me sina ata Nguo ya kuvaa wala zawadi[emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] me nikashindwa kukuona umu
ukisikia jino kwa meno ndo hii sasaMkuu hio mbn ni rahisi tuu, siku unajua leo yupo na hakuweka mziki washa pikipiki, tafuta chumba kilicho karibu na chumba chake kama unauwezo wa kupata pikipiki kwa fundi gereji azima, nunua japo lita 3 za petrol, toa ekzozi, washa mashine wakati unajua anataka kulala. ila siku hiyo itaidi uombe radhi kwa majirani wengine pia, naamini hata akikufata utakuwa na jibu zuri kwake.
We are being targeted while they are sitting safe and sound in their palaces
Duh! Nasikia eti ana gariMkuu sio "nyumba ya kupanga" ni chumba cha kupanga au hujamuelewa mtoa mada.. Hana hadhi ya kupanga nyumba kwa sasa kwani kafulia hana kitu
Hii avatar yako.......Kumbe bado mpangaji dah!
wewe unalala pangon ngese wwKapanga nyumba mzima au vyumba vingap huyo bishooo,??