Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,780
- 5,305
Yes Irene alishawahi kukaa kwa Jmoy kama mpangaji.Jmoo yule mwanamuziki.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes Irene alishawahi kukaa kwa Jmoy kama mpangaji.Jmoo yule mwanamuziki.?
huo mtaa hauna balozi wa nyumba kumi-kumi?
Hata kama haupo humu hopefully ujumbe utakufikia. Irene uwoya wewe ni mdada mtu mzima mwenye hadhi yako ,lakini mambo unayoyafanya kama watoto wanaonza balehe.
Dada yangu wewe kila weekend mamiziki tena kwa sauti ya juu, jamani watu hatulali. Yote haya tumevumilia ila jana sikukuu ya Iddi umetukomesha baada ya kugeuza nyumba yako disco. Muziki mpaka rohoni kwakweli hatuna hata nafasi ya kulala ukiangalia wengine wana watoto wadogo. Irene hata kama unataka kula bata na shoga zako kuwa mstaarabu jamani, weka muziki wa wastani.
Jana umetulaza macho leo tena umefungua mziki jamani uwiiiiiiii, natamani nikurudishie kodi uhame jamani. Halafu hujistukiii mtaa mzima wewe peke yako ndo una makelele mweeeee
Unatukwaza Irene Uwoya badilika fanya ustarabu haya ni makazi ya watu tunaomba utuheshimu.
Kumbe kapanga alafu analeta nyodo
Maskini jeuri.