Kama nilivykuambia wakati nazungumza nae usiku basi moyo wangu ulikuwa unafurahi sana, kwa kweli alikuwa anapenda kuniamsha usiku unakuta saa tisa au saa nane anasali namsikiliza. Nakumbuka mara kwa mara akiwa anaenda kukojoa ananambia usikate simu huku yeye nasikilizia anavyokojoa. Kipindi hicho nilikuwa bado sijalala nae kwa hiyo nilikuwa na wasiwasi sana kwani huyu anasema hajaguswa lakini utundu huu anautoa wapi?? Ila ni kweli akili yangu tu yenyewe ilikuwa inaniopa majibu ya wasiwasi
Apart from that alibadilisha dini, hicho kilikuwa kipimo kikubwa cha upendo. Sikumlazimisha ila yeye mwenyewe alibadili dini kunionyesha kuwa yuko serious na mimi, na nilivutiwa sana kwa kitendo kile. Nikapata moyo wa kumpeleka nyumbani nikamtambulishe kwa mama. Basi sijui kitu gani alikuja home tukazungumza vizuri na bi mkubwa. Nakumbuka nilivyomsindikiza kwao nikarudi home cha kwanza mama kunambia ni kuwa hakuwa ananifaa. Nilimbishia sana bi mkubwa nikatoa na maneno ya kashfa aache kufatilia maisha yangu. Nilimuliza kwani kwa kweli umekosa jambo moja zuri la kusema juu yake mpaka useme hanifai? Iliniuma sana
Nakumbuka tena kabla ya sex tulikuwa tunaromance sana, ila mchezo alikuwa anaogopa mno. Ila kila likizo ilikuwa ni romance, na haikuchagua eneo, nilikuwa namshika popote pale tulipo. Unakuta tukikaa naingiza mkono kwenye skirt, hapo tulikuwa tushakolea sana. Yani hata kwenye daladala, tukikaa siti ya nyuma basi mie kazi kuingiza mkono kwenye chupi. Kitendo kile cha kuiba iba kilikuwa kinamvuruga sana na kilimfanya anipende mno. Kuna vitu vingi nimefanya nae sidhani kama nitaweza kuvifanya na mtu mwingine....