Kwako Magori: Tunahitaji kiungo mkabaji na namba 9 na beki 2/3 siyo kiungo mashambuliaji

Kwako Magori: Tunahitaji kiungo mkabaji na namba 9 na beki 2/3 siyo kiungo mashambuliaji

Hivi mnataka Mohamed Hussein afanye nini ili mridhike kuwa anacheza kwa kiwango kikubwa ?

Mbona mashabiki wa Simba wakati mwingine tunakosa hata Shukrani ?

Simba kwenye midfield kwa level yao wako vizuri tu au mnataka wamlete Kante ? Mbona Simba hawa hawa wamekuwa wakizikalisha timu nyingi tu wakiwa na kina Mzamiru.

Hivi unajua mara ya mwisho Simba kufungwa goli nyingi ugenini ni mechi yetu na Kaizer Chiefs na mechi ile kulikuwa na tatizo la fitness kwa wachezaji kukaa zaidi ya wiki mbili bila kucheza hata mechi moja?
ona mbadala hapo chini mwenye namba asipokuwepo.[emoji116]

Golini:Manula,,,Kakolanya.
beki;Onyango,,,Kenedy,Oatara.

beki 3: Zimbwe asipokuwepo nani mbadala wake?
Gadiel hawezi kufikia hata robo ya kazi ya Zimbwe lazima Zimbwe atafutiwe mbadala pindi akiumia au lolote likitokea.

stricker😛hiri asipokuwepa nani anasimama namba tisa?

CDM:Mkude,Muzamir,Nyoni hawa wote awajafit namba sita kufikia kiwango bora kama cha Lwanga au Fraga.tunaenda tu hivyohivyo ubora wa Chama na wing strickers unasaidia kupatikana magoli timu inasonga.

Simba wana back pass nyingi kwasababu ya kukosa CDM.ile style ya Simba kupiga pasi milioni kuanzia nyuma mpaka goli la mpinzani inakosekana kwasababu ya kukosekana namba sita mwenye kiwango bora.
 
Msisahau Kibu, Banda, Bocco hawa ni kupe
 
Simba ina wakati Mgumu sana.
Kapombe hana mbadala.
Zimbwe hana Mbadala
Kiungo Mkabaji asilia hatuna.
Mshabuliaji asilia matata hakuna.
Hizo nafasi 4 zikipata vyuma haswaaaaaaa Simba itakaa sawa
Umeandika nini? wabadala wapo lakini hawawezi kufanana kwa kila kitu ...nao wakipata nafasi na uzoefu watakuwa kama hao uliowataja.
 
Huwa mnazichukulia simba na yanga kwa umakini bila kujali kwamba zinaongozwa na umbwa mwitu zenye njaa.MSIWE SIRIAZI SANA NA HAO PASUA KICHWA.hata kitunguu cha mia wanataka shilingi ishirini.
Umemaliza thread
 
If unapata tisa asili means unamtoa Phiri kwenye equation.
hapana mkuu embu niambie siku mwalimu akiamua kubadili formation achezeshe double stricker Phiri anacheza na nani,au Phiri akiumia,au akiwa kwenye majukumu ya timu ya taifa nani atakua mbadala wake wa kukupa kiwango kilekile kama cha general Phiri?,jibu ni hayupo so inabidi walete 9 wa asili mfano wa Manzoki hata Mayele wakikaa vibaya wanapigwa mtama anakua mnyama[emoji28][emoji23]
 
Mbona suala la Mgunda sijaongelea hapa mkuu? we unaona ni sawa magori kusema tutaleta kiungo mshambuliaji mkali january wakati siyo hitaji zito, si bora kuleta kiungo versatile anayeweza kucheza kiungomkabaji na kiungo mshambuliaji,namba 9 pia anahitajika na beki anayeweza cheza namba 2 na 3
Tuliwahi kuwa na kiungo mkabaji mzuri sana wakati akiwa kwenye peak yeke, Kotei.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapana mkuu embu niambie siku mwalimu akiamua kubadili formation achezeshe double stricker Phiri anacheza na nani,au Phiri akiumia,au akiwa kwenye majukumu ya timu ya taifa nani atakua mbadala wake wa kukupa kiwango kilekile kama cha general Phiri?,jibu ni hayupo so inabidi walete 9 wa asili mfano wa Manzoki hata Mayele wakikaa vibaya wanapigwa mtama anakua mnyama[emoji28][emoji23]
Bongo haiendi hivyo....
Ukishakuwa na striker wawili basi atacheza mmoja kasoro mechi chache.
Kwa matumizi hayo huwezi tafuta forwad wa gharama maana hatotumika....
Kama matumizi ni backup na if ikitokea mmebadilisha mfumo.
Kiyombo will do....
 
Bongo haiendi hivyo....
Ukishakuwa na striker wawili basi atacheza mmoja kasoro mechi chache.
Kwa matumizi hayo huwezi tafuta forwad wa gharama maana hatotumika....
Kama matumizi ni backup na if ikitokea mmebadilisha mfumo.
Kiyombo will do....
Kyombo yupo lakini sitarajii kutoa kilicho bora kama Phiri hatokuwepo pale kati.
 
Wana simbaaaaaaa
Screenshot_20221019-195700_Instagram.jpg
 
Simba ina wakati Mgumu sana.
Kapombe hana mbadala.
Zimbwe hana Mbadala
Kiungo Mkabaji asilia hatuna.
Mshabuliaji asilia matata hakuna.
Hizo nafasi 4 zikipata vyuma haswaaaaaaa Simba itakaa sawa
Nakazia.
 
Ni mara ngapi phiri hatokuwepo?
Ligi yetu ina mechi chache sana....
Rotation ni Ngumu, lazima kiwango cha mmoja kife.
" kocha hawezi badili team inayoshinda"
Simba inashiriki michuano mingapi ligi kuu, fa,caf,super cup inakuja.hapo sijaweka ya Zanzibar mapinduzi cup.na michuano yote inamataji na pesa pia.sasa unasemaje mechi chache?

kivyovyote vile ni lazima Simba isajili stricker mwenye sifa ya Manzoki na wote wanaweza kucheza kwa vipindi tofauti au mechi tofauti wakakupa matokeo mazuri tu,
usikariri ya kwamba kocha anabaki na kikosi kilekile,kuna siku mambo yanakua magumu uwanjani kocha anatumia wachezaji wake wa ziada.
ona Nabi anvyopata tabu na kikosi chake kilekile mambo yanapomuwia magumu anakosa mbadala kwasababu hana.
alafu Phiri ni kiraka anamudu 9/10/11/ na 7 kote huko anafanya vizuri.
 
Dah! Hongereni kwa kufika makundi, imepatikana nafasi ya kujipanga na kukaa sawa ila ndugu zangu kweli mmeridhika kwamba nafasi ya kiungo mkabaji iko sawa kabisa?

Putin Kanoute anajitahidi ila kwenye mechi kubwa za presha yule ni straight red card anytime, halafu ni mtu wa majeraha sana. Haya vipi siku Moses Phiri akaumia, akaumwa au akafiwa? Hamuoni haja ya kuleta mshambuliaji mwingine?

Tunahitaji beki anayeweza kucheza namba 2 na namba 3, ndiyo yaani awe anatumia miguu yote, nafasi ya Dejan ipo wazi, achaneni na Akpan na Outarra.

Habari za kuleta kiungo mshambuliaji wa nini sasa? Rudisheni Dilunga, au ni Adebayor asiye na namba Berkane? Sasa si hasara, si kasajiliwa CAF na berkane hatatumika na Simba? Au ni Konde Boy? Hapo uongo hakuna hela ya kumlipa mshahara wake au ni Bwalya asiye na namba amazulu? hovyo kabisa!

Kama mna hamu sana na kiungo mshambuliaji, basi tafuteni mwenye uwezo wa kucheza pia kama kiungo mkabaji awe hodari.
Umesema vizuri sana kwa wale ambao hawajakuelewa leo, watakuelewa jumapili, sio kwamba yanga ni wazuri sana ila wanawajua simba kwa kiwango kinachotosha kuonesha mapungufu yaliyopo.
 
Simba inashiriki michuano mingapi ligi kuu, fa,caf,super cup inakuja.hapo sijaweka ya Zanzibar mapinduzi cup.na michuano yote inamataji na pesa pia.sasa unasemaje mechi chache?

kivyovyote vile ni lazima Simba isajili stricker mwenye sifa ya Manzoki na wote wanaweza kucheza kwa vipindi tofauti au mechi tofauti wakakupa matokeo mazuri tu,
usikariri ya kwamba kocha anabaki na kikosi kilekile,kuna siku mambo yanakua magumu uwanjani kocha anatumia wachezaji wake wa ziada.
ona Nabi anvyopata tabu na kikosi chake kilekile mambo yanapomuwia magumu anakosa mbadala kwasababu hana.
alafu Phiri ni kiraka anamudu 9/10/11/ na 7 kote huko anafanya vizuri.
Super Cup bado sio confirmed kwamba tutashiriki.....
Mapinduzi sio mashindano ni Bonanza.....
Kyombo anaweza perform.

Winga Okrah, sakho, Banda, Kibu umpeleke Phiri pembeni kufanya nini?

Tukubali kama tunasajili striker mwingine basi Phiri atacheza au huyo striker acheze.
 
na chama pia apate msaidizi, ametumika sana, na anazid tumika tu,,,
 
na chama pia apate msaidizi, ametumika sana, na anazid tumika tu,,,
 
Back
Top Bottom