Kwako Mkuu wa Wilaya ya Mwanga - Kilimanjaro

UNAJIPROMOTI SIO?????????????????
Sina sifa za kupata hiyo nafasi, lakini pia kutoka moyoni siipendi maana sina uwezo wa kwenda na kasi ya JPM, wacha niishi kama nilivyo.
Karibu upareni, wilaya ya Mwanga
 
Sina sifa za kupata hiyo nafasi, lakini pia kutoka moyoni siipendi maana sina uwezo wa kwenda na kasi ya JPM, wacha niishi kama nilivyo.
Karibu upareni, wilaya ya Mwanga

Noted. Thanks
 
Sina sifa za kupata hiyo nafasi, lakini pia kutoka moyoni siipendi maana sina uwezo wa kwenda na kasi ya JPM, wacha niishi kama nilivyo.
Karibu upareni, wilaya ya Mwanga
Kwani dada yangu Rosemary wa Wilaya ya Same anasifa gani ambazo wewe huna? Au Binamu yangu wa wilaya ya Mufindi?
 
Mkuu wa wilaya ya Mwanga apiga marufuku udanganyifu wa taarifa za maendeleo
Kwenu prof.maghembe,shaibu ndemanga :mwanga hakuna ugaidi,inatosha sasa kuzusha uongo huu.
 
Kwani dada yangu Rosemary wa Wilaya ya Same anasifa gani ambazo wewe huna? Au Binamu yangu wa wilaya ya Mufindi?
Elimu yao inaruhusu, u kada unaruhusu. Mie darasa la 7 B sio rahisi na pia sio mwanachama kindakindaki wa CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…