talentbrain
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,187
- 760
Unaweza kuthibitisha? Mbona magari hayo pia ni wahanga wa kutekwa na majambazi? Kwani mabasi hayo yanatoboa Tabora - Kigoma usiku? Yanatoboa Kibondo - Kasulu usiku?Kwenye njia ya Kigoma kina Adventure, Saratoga na Takbir walikuwa na magenge ya utekaji mabasi ya abiria kitu kilichopelekea wengine waikimbie hiyo njia.
Hatimaye magenge yamesambalatishwa na jeshi imara la polisi tanzania. Sijui huko wanatumia njia gani?
Unaweza kuthibitisha? Mbona magari hayo pia ni wahanga wa kutekwa na majambazi? Kwani mabasi hayo yanatoboa Tabora - Kigoma usiku? Yanatoboa Kibondo - Kasulu usiku?
Kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa majambazi Kigoma wanaletwa na makampuni hayo?
Hahahamabus ya super feo lazima yaanzie songea, hiyo ruti itakiuka masharti
Ndio sababu za maendeleo kusua sua..na si huko hata kwetu.Wenyewe wanaona sifa .Ndio maana tukija Dar hatutaki kurudi huko mwakwetu.Hivi haya mambo kumbe yapo sehemu nyingi, sisi wenyewe kutoka mkoani kwenda kijijini kwetu ametawala mtu mmoja miaka nenda rudi akija mwingine anakimbia mbaya zaidi gari iko moja inaondoka alfajiri ukichelewa hiyo ndio imetoka unaanza kurudi nyumbani na mabegi yako
Si ndio mmeongezewa na treni ama sio nyinyi!?Kweli kuna mikoa bado ipo nyuma.
Nashukuru mungu kwetu kaskazini unapata usafiri wowote uutakao kwanzia hiace,coster,noah,bajaji,pikipiki,mabus,pickup,baiskeli...yani ni wew tu
Acha umbea... Na usirudie kuchafua watuHufatilii vyombo vya habari.
Acha umbea... Na usirudie kuchafua watu
Sababu kadhaa:-Kwanini kampuni nyingine haziendi kigoma?
Ukija tena songea nitafute tujuane bhana.. 😊Haya mambo ya usafirishaji sijui kwanini figisu huwa nyingi...utakuta mtu mmoja ndiye anayetawala route kwa muda mrefu hadi unashangaa..
Nakumbuka miaka ya nyuma huko mjini songea-litui kulikuwa na gari za mtu mmoja tu wa kuitwa sabasi..yule jamaa alijua kunyanyasa abiria jamani..khaa!
Mwaka juzi nilikwenda songea nikamkuta amepata mpinzani kidogo imekuwa ahueni.
Mi kuna kijiji dodoma niliambiwa barabara inamilikiwa na mtu hivyo magari mengine hayaruhusiwi kupeleka abiria nikachoka.Hivi haya mambo kumbe yapo sehemu nyingi, sisi wenyewe kutoka mkoani kwenda kijijini kwetu ametawala mtu mmoja miaka nenda rudi akija mwingine anakimbia mbaya zaidi gari iko moja inaondoka alfajiri ukichelewa hiyo ndio imetoka unaanza kurudi nyumbani na mabegi yako
Ni pm niwapi. Nijipange nikapambane nayeHivi haya mambo kumbe yapo sehemu nyingi, sisi wenyewe kutoka mkoani kwenda kijijini kwetu ametawala mtu mmoja miaka nenda rudi akija mwingine anakimbia mbaya zaidi gari iko moja inaondoka alfajiri ukichelewa hiyo ndio imetoka unaanza kurudi nyumbani na mabegi yako
swali lako nzuri,nijibie kidogo ktk hili.abilia wengi wa songea dar hupenda kusafir na gari lenye uhakika wa safari,hupenda gari nzuri zenye siti nzuri ndani,magari yenye namba zisizo za zamani.kampuni nyingi sana zilikuwa zinashindwa kusafirisha abiria kipindi wanapoona hadi asubuhi gari linaabiria 30 tu.matokeo yake unakuta abiria wa saibaba na abiria wa otawa wanaunganishwa kwenye basi moja wanasafiri,ukata huu wa abiria ulifanya kampuni nyingi ziache kuleta basi hapa songea. feo yeye alikuwa anakomaa hata abiria wakiwa30 anaruhusu gari yake isafiri tu.kateseka ktk kuuza jina la kampuni yake.Kabla hajakubali ombi lako...muulize anawafanyia nini wafanyabishara wenzake ya usafirishaji hadi kukimbia route ya Dar Songea?? Kiufupi huyo naye hapendi ushindani ila kakutana na wachina New Force hadi kumfu zilipigwa!
Sawa nitakupmNi pm niwapi. Nijipange nikapambane naye
Feo nyingi kama sio zote njia ya njombe vipisi na zimechoka, zimejazana Rosa hizi fikiri, usalule basi nyingine ni sajda nae ana vipisi na kubwa 2 tu, new force ipo moja tu ya kwenda dar. Hiyo njia huwezi kuweka basi kubwa walimwachia feoswali lako nzuri,nijibie kidogo ktk hili.abilia wengi wa songea dar hupenda kusafir na gari lenye uhakika wa safari,hupenda gari nzuri zenye siti nzuri ndani,magari yenye namba zisizo za zamani.kampuni nyingi sana zilikuwa zinashindwa kusafirisha abiria kipindi wanapoona hadi asubuhi gari linaabiria 30 tu.matokeo yake unakuta abiria wa saibaba na abiria wa otawa wanaunganishwa kwenye basi moja wanasafiri,ukata huu wa abiria ulifanya kampuni nyingi ziache kuleta basi hapa songea. feo yeye alikuwa anakomaa hata abiria wakiwa30 anaruhusu gari yake isafiri tu.kateseka ktk kuuza jina la kampuni yake.
usijaribu kuleta basi zilizochoka songea hutapata wateja,basi ikitembea mwaka mmoja tu unatakiwa ubadilishe wateja wanaanza kuzingua.sasa kwa mujibu wa maelezo ya sumry anasema basi moja ili iludishe pesa ya manunuzi inatakiwa iwe barabarani miaka3.huku songea basi la miaka 3 hapandi mtu hapo ndio mtihani unapoanza