Kwako Mpendwa wetu Unique Flower

Sawa shemeji lkn kumfuata huko huko njema zaid ya hii
Ni vile tu Sipendi na siwezi hata iweje kuanika mazungumzo ninayo fanya na mtu. Hiki ni kiapo nilichojiapiza hata kama atanifanyia ubaya kiasi gani. Lakini huu uzi umesaidia wengi na yeye sidhani kama ni msomaji maana sio kwa sonona aliokuwa nayo
 
Mi naona still haja teleza au kuanguka Sana.
Na recall 2023 mwanzoni was the hardest time in my life.

Imagine you work hard, gets some few cash.
Ila amani hakuna, hata ukiona simu Ina ita ni msala mzito.

Hudaiwi na mtu, ila ni kama roho yako yenyewe iko jela.
Mi ni fan mkubwa wa vitabu, ila hata niki Soma sielewi kitu. Damn shit.

Aisee nili jipaga likizo nyingi mno, Kuna kipindi I was spending my vichenchi hovyo.
coz nili hisi muda sio mrefu navuta kambaπŸ€“πŸ˜„.

Guess what !!?, katikati ya Mwaka Jana, ndo nika kutana na 1 angel of mine.
AIsee thanks to her, my soul was saved.
 
Manyanza nimesoma post yako.
Sijakata tamaa mie yakupata mwanaume wakunioa kweli sio rahisi. Kuweka maagano hadi ndoa ndio ni ngumu ila mie sina stress za mapenzi hebu naomba mtaji wa ml 100 hilo tu nitakushukuru.

KWa sasa nawaza sana njia yakupata hela tu mengine hakunaga . Wanaume wapo tu na mtu akija kama amekuridhia mnaoana . Sina shida nawatu wananipenda ila sasa sina hamu ya kufanya tendo na sijafikia lengo .

Kama unataka kunisaidia nisaidie .
Mapenzi ni enzi za 2019 ndio ungeandika hii mesage .
Good day .
 
@Unique Flower anasoma huu uzi huku anahisi uchungu moyoni, usiubane na ukihisi kulia wewe lia tuu sumu ikutoke moyoni na ukimaliza jiambie nimejisamehe mwenyewe na nafsi yangu pia nisamehe. Alafu songa mbele dada maua
 
@Unique Flower anasoma huu uzi huku anahisi uchungu moyoni, usiubane na ukihisi kulia wewe lia tuu sumu ikutoke moyoni na ukimaliza jiambie nimejisamehe mwenyewe na nafsi yangu pia nisamehe. Alafu songa mbele dada maua
Nilie ili iweje??
 
Manyanza nimesoma post yako.
Sijakata tamaa mie yakupata mwanaume wakunioa kweli sio rahisi. Kuweka maagano hadi ndoa ndio ni ngumu ila mie sina stress za mapenzi hebu naomba mtaji wa ml 100 hilo tu nitakushukuru.
Kitu kinachokuja kwa urahisi hauwezi ukakithamini na kukitunza, ukipata hiyo 100 M utatumia vibaya na ikiisha utachanganyikiwa na kupata magonjwa ya sonona. Unawaza kunipa business plan yako inayochanganua ni namna gani hiyo hela utaiwekeza na kuleta faida? Kama una mchanganuo wenye akili nitumie kwenye email yangu.
manyanza@jamiiforums.com niusome kwanza halafu Kuna watu wa UAE nijaribu kuwashawishi
 
Bwana mikopo upo?? Nitumie account ya email yako
 
Haupo serious ukitoa hii hela natembea na chupi kichwani walahi
Sitoi hela Mimi Ila hiyo hela bila kuwa na Business Plan hauwezi kuipata. Alafu masuala ya kuvaa Chup*** kichwani yanaingiaje hapa ? Na hapo huo unakuwa sio mkopo ni mpango biashara wako wa hela hiyo watu ndio wataweka hiyo pesa.
 
Sitoi hela Mimi Ila hiyo hela bila kuwa na Business Plan hauwezi kuipata. Alafu masuala ya kuvaa Chup*** kichwani yanaingiaje hapa ? Na hapo huo unakuwa sio mkopo ni mpango biashara wako wa hela hiyo watu ndio wataweka hiyo pesa.
Wee na wee to pesa hiyo..
Tuone mtu anaye tembea na pichu kichwani anafananaje πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sitoi hela Mimi Ila hiyo hela bila kuwa na Business Plan hauwezi kuipata. Alafu masuala ya kuvaa Chup*** kichwani yanaingiaje hapa ? Na hapo huo unakuwa sio mkopo ni mpango biashara wako wa hela hiyo watu ndio wataweka hiyo pesa.
Sasa haupo serious nimehitaji account yako unanipa ya jami forum haupo serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…