Kwako Mpendwa wetu Unique Flower

Kwako Mpendwa wetu Unique Flower

Kumbe mnajuana🙂🙂🙂
🤣🤣🤣🤣
Wawili ni Bora kuliko mmoja maana mmoja akianguka mwingine atambeba mwenzako. Lakini huyu Yuniki flawa Mimi simuwezi kabisa kumbeba.
 
Sitoi hela Mimi Ila hiyo hela bila kuwa na Business Plan hauwezi kuipata. Alafu masuala ya kuvaa Chup*** kichwani yanaingiaje hapa ? Na hapo huo unakuwa sio mkopo ni mpango biashara wako wa hela hiyo watu ndio wataweka hiyo pesa.
Brother naomba kuwa share Holder 🤓🤓🤓
 
Nitumie email uone kama sijakujibu. Mimi humu ni Legend Wewe. Alafu unashangaa Mimi kutumia domain name ya JamiiForums? 😂😂😂
Hii ndio njia yako ya kumtaka mtu halafu kama upo serious upogi PM so huko huko katoe email address
 
Hii ndio njia yako ya kumtaka mtu halafu kama upo serious upogi PM so huko huko katoe email address
Nimekupa email yangu hapa hapa wazi kabisa kwa sababu Mimi siogopi na wala Sina hofu yoyote.
 
Back
Top Bottom