Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu ukahonge nope haupo seriousHiyo ni email yangu Wewe tuna hiyo Business Plan yako kwanza ili tushawishi watu waweke hiyo hela 😂😂😂
Nope, and hayupo Tena duniani.Huyo Soul saver ulimpata humu humu? 😂😂😂
I met her Mwaka Jana katikati, na she was gone Mwaka huo huo.Pole sana Kijana wangu.
Wachaa ila hiyo email ya uongoSasa hiyo hela unaipataje?
Sina haja ya kuhonga huo mpango biashara wako. Mimi Mwenyewe nimetengeneza ya kutosha. 😂😂😂
Brother naomba kuwa share Holder 🤓🤓🤓Sitoi hela Mimi Ila hiyo hela bila kuwa na Business Plan hauwezi kuipata. Alafu masuala ya kuvaa Chup*** kichwani yanaingiaje hapa ? Na hapo huo unakuwa sio mkopo ni mpango biashara wako wa hela hiyo watu ndio wataweka hiyo pesa.
Dah nitakutafuta Kijana wangu.Brother naomba kuwa share Holder 🤓🤓🤓
Dah nitakutafuta Kijana wangu.
Halafu hebu msikilize huyu Mwamba hauwezi kuishi Kinyonge hapa duniani 😂😂😂
View: https://vm.tiktok.com/ZMMNwAFNf/
Hawezi Elewa🤓🤣Nitumie email uone kama sijakujibu. Mimi humu ni Legend Wewe. Alafu unashangaa Mimi kutumia domain name ya JamiiForums? 😂😂😂
Hii ndio njia yako ya kumtaka mtu halafu kama upo serious upogi PM so huko huko katoe email addressNitumie email uone kama sijakujibu. Mimi humu ni Legend Wewe. Alafu unashangaa Mimi kutumia domain name ya JamiiForums? 😂😂😂
Hiyo sio email yako hakuna mtuanatumia hiyo email zaidi ya nwenye jfNimekupa email yangu hapa hapa wazi kabisa kwa sababu Mimi siogopi na wala Sina hofu yoyote.