Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16]Haya maneno yana uzito kwa bite tuu, sie wengine ni utopolo kama utopolo mwingine
[emoji16][emoji16]Ndio mkuu, inawezekana nikawa si peke yangu yawezekana Kuna kenge nyingi zimejiunga JF siku hizi.!
duh poa poaHapana mkuu Ila naamini ni moja ya sehemu ambayo anaweza kuwepo kwasababu sina Mawasiliano nae.
Eti nliandika Uzi nkafuta .ndo nikala banInakuwaje mpaka mnapigwa ban aisee [emoji16][emoji16]
Mimi niliwahi kupigwa ban Mara 1 tu mwaka 2018 na hiyo kitu sihitaji Tena kuona kikitokea
Lol [emoji16][emoji16]Eti nliandika Uzi nkafuta .ndo nikala ban
Pole .. ukiwa addiction na jf then ukapigwa ban huwa inatesa mnoo kisaikolojiaEti nliandika Uzi nkafuta .ndo nikala ban
Kuzaa huwa haijalishi moyo ukiamua haurudi nyumaHata kama umemzalisha?
Kabisa..yaaniPole .. ukiwa addiction na jf then ukapigwa ban huwa inatesa mnoo kisaikolojia
Nimekula ban mara tatu na zote huwa ni miezi miwili.Inakuwaje mpaka mnapigwa ban aisee [emoji16][emoji16]
Mimi niliwahi kupigwa ban Mara 1 tu mwaka 2018 na hiyo kitu sihitaji Tena kuona kikitokea
Sasa mbona umu watu wana sisitiza tusioe wanawake walio zalishwa kwakuwa wana tabia ya kuanzisha mahusiano tena na walio wazalisha kwa siri?Kuzaa huwa haijalishi moyo ukiamua haurudi nyuma