Humu JF watu hudaganya Sana wenzao, na kujimwambafai na kutukana single mother kumbe ndio wamewaoa, na hawana SAUTi, so hasira zinaishia kushambulia humu jukwaani kupoza machunguSasa mbona umu watu wana sisitiza tusioe wanawake walio zalishwa kwakuwa wana tabia ya kuanzisha mahusiano tena na walio wazalisha kwa siri?
Duuh mkuu usinilaani mazima sasa, kukosea kupo wakati mwingine muwe na moyo wa kusamehe.Wanaume mkipendwa na kuheshimiwa huwa mnaanza vituko, nikupe Pole wanawake tukipenda na kuumizwa huwa haturudi nyuma, so pambana na Hali yako, na mkeo utakayempata atakuwa pasua kichwa
Mkuu umeandika kwa kukoleza..Wanaume mkipendwa na kuheshimiwa huwa mnaanza vituko, nikupe Pole wanawake tukipenda na kuumizwa huwa haturudi nyuma, so pambana na Hali yako, na mkeo utakayempata atakuwa pasua kichwa
Weka bandiko lakujisifiaTangu nijiunge jf sijawahi kupigwa ban
Haiwezekan mtu aoe single mother halafu aje awatukane humuHumu JF watu hudaganya Sana wenzao, na kujimwambafai na kutukana single mother kumbe ndio wamewaoa, na hawana SAUTi, so hasira zinaishia kushambulia humu jukwaani kupoza machungu
Hahaaaa mie nilichezea ban Jukwaa la dini hadi leo sijui sababu ilikua nini 😂😂Nimekula ban mara tatu na zote huwa ni miezi miwili.
Halafu sababu zenyewe hata hazina mashiko, nadhani wakati mwingine jamaa huwa wanaamua kutulima tu.Hahaaaa mie nilichezea ban Jukwaa la dini hadi leo sijui sababu ilikua nini 😂😂
Hujawajua wanawake mkuu.Mbona watu wana sema mwanamke ukisha zaa nae tu kumpata tena ni laisi hata kama kashaolewa?
Hata mimi,mtu akiniudhi nanyamaza tu,najua nikijali nitazingua,kuna mtu aliwahi kunisababishia ban kizembe sana,nilijilaumu sana kumjibu shit!.Inakuwaje mpaka mnapigwa ban aisee [emoji16][emoji16]
Mimi niliwahi kupigwa ban Mara 1 tu mwaka 2018 na hiyo kitu sihitaji Tena kuona kikitokea