Msaidie wewe mkuuPoleee...Huyo Bite mbona alishaolewa.!!
Mimi ndio nilishaolewa kitaaaambo saana.Msaidie wewe mkuu
Mpe hata rafikiyo wa karibuMimi ndio nilishaolewa kitaaaambo saana.
Mpe hata rafikiyo wa karibu
ampoze mwanachama mwenzetu asije akajinyonga ati
Uzembe wake ni upi hapo
Sio kweli. Mwanamke ukimzalisha na akawa bado hajaolewa kumrudisha ni kama kumsukuma mlevi.Ndiyo. Tena ukiendelea kumsumbua atakwambia mtoto sio wako.
Halafu sijajua kama mleta mada ni weweKheri na we unitetee dadake.
Hapana mkuu Ila naamini ni moja ya sehemu ambayo anaweza kuwepo kwasababu sina Mawasiliano nae.