Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Mziki wa Van boy Happy happy ukuburudishe huko uliko mpendwaAmiin my dear! Nimefurahi kusikia hivo nakukubali piaa😍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mziki wa Van boy Happy happy ukuburudishe huko uliko mpendwaAmiin my dear! Nimefurahi kusikia hivo nakukubali piaa😍
Asante kwa kunijuza hilo.Hi Kasomi! Mbona hata wewe tupo wote humu, sisi jf ni familia moja japo hatufahamiani so kuwishiana heri ni jambo jema kwa wote tu.👏
Thank you nice as your nice name v😍Happy birthday mamito
Love u[emoji8][emoji8][emoji8] financial services
Thank you capitalpool 😘Happy B. day FS!!
Hizo namba za nida si mchezo ujue😂 thank you na ikiwa hivo naweza ona hadi vitukuu vya vitukuu vyangu😂Asante kwa kunijuza hilo.
Basi uwe na heri ya kuzaliwa huku uswahilini wanasema Mungu akuongezee miaka mingi kama namba za NIDA
Thank you beautiful Abrianna😍Happy Birthday dwar financial services na ikawe heri katika kila ufanyalo
Ahsante sana Dio, nimejiskia vizuri nakupenda pia 😍😍
Thank you kwa kawimbo kazuri, ila ulivonisema hapo juu ntakulipa tu 😀Kunywa maji kwanza utulize Koo na hasira zishuke!,halafu gaidi halii.
Then njoo tucheze kidogo tusherehekee happy birthday yako Toto tundu
View attachment 1967352 Kama hujui kucheza keki nakupaka nayo usoni..😊
Huo ni ukorofi mkuu😂Apia
Asalalee!! We ni toto mpya nisamehe bure ona huruma kwa watoto wenzako nimekosea kidogo tu..😅Thank you kwa kawimbo kazuri, ila ulivonisema hapo juu ntakulipa tu 😀
Sawa tuuAsalalee!! We ni toto mpya nisamehe bure ona huruma kwa watoto wenzako nimekosea kidogo tu..😅
Afadhali nilikuwa nishaanza kukemea huku fire fire fireeeeeeee..😂Sawa tuu
Ndagha fijo gwa kukaja😍😀Hbd gwa kumyitu.
Ukyala akusaje.
Thank you dear😍Happy bday dear financial services 🎂 nakutakia maisha marefu yenye amani, upendo, furaha na miujiza tele😂
Be blessed😘