Kwako Msajili wa Vyama vya Siasa; Ifute mara moja CCM, imekosa kibali cha kuongoza

Kwako Msajili wa Vyama vya Siasa; Ifute mara moja CCM, imekosa kibali cha kuongoza

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
8,406
Reaction score
9,619
Wakuu Mbingu zimeitika, niwasalimu kila mmoja kwa imani yake, hivyo hivyo neema ya Mungu ikawe juu yenu ,kila mmoja kwa imani yake Popote ulipo.

Rejea mada tajwa hapo juu ,

Leo namtaka msajili wa vyama vya siasa nchini tz kukifutilia mbali chama cha CCM nchini kama chama cha siasa.

Machawa watacheka sana husu andiko hili, maana wao huamini CCM ndo kila kitu, na tamko kama hili ni ufala tu maana nani hawezae kufuta chama ichi.

Sikia hii ni amri kuu toka kwa Mungu wangu, kwako msajiri wa yama vya siasa sio ombi ni lazima asema Bwana na huwezi jiuzulu, futa chama ichi mara moja, asema Bwana.

CCM Mungu amekinyima kibali cha kuongoza, hii nimesema mara nyingi tu. Ndo maana ya uyaonayo ndani ya chama ichi na yanayostahibisha mfano:

1. Mkutano wao wa kumpitisha Mgombea umeona nini kimetokea na nini kinaendelea

2. Zipo picha mbalimbali katika mitandao ya kijamii ,9 Green Gurd wakiwa wamevalia kijeshi kabisa katika uniform za ccm , maana nyingine CCM kama chama wenda kipo na vikosi nje wa utaratibu wa kisheria wa nchi, na wenda hawa ndo huchafua vyombo vyetu vya ulinzi katika timiza majukum yao halali ya kisheria.

3. CCM kama chama pamoja na kupata ruzuku ila Matumizi yake hayaeleweki, wenda katika kufungamana na mwenyekiti wao ambae ni Ris wa watu wote lipo jambo kwangu naliona kwa macho ya tatu, kuna tatizo, hizo pesa kwangu nasema na Mungu wangu anasema sio za ruzuku ya chama pekee, kuna shida.

Kwa kuanzia, Mungu anakutaka kukifuta chama hichi, sasa chagua kukifuta au ujiuzulu, Gharika kuu yaja na upanga mkali,asema Bwana .

Sioni tija kwako ingia katika msako huu wa Bwana ili hali huna hatia tofauti na kutekekeza .

Mungu akawe juu yako katika tekeleza haya ,sio ombi ni lazima tekeleza, kwamba futa chama hichi ,au jiuzulu asema Bwana.

Mengine nitakuandikia barua yako binafsi kwako .

MUNGU MWEMA.
 
Wakuu Mbingu zimeitika ,niwasalimu kila mmoja kwa imani yake , hivyo hivyo neema ya Mungu ikawe juu yenu ,kila mmoja kwa imani yake Popote ulipo.

Rejea mada tajwa hapo juu ,

Leo namtaka msajili wa vyama vya siasa nchini tz kukifutilia mbali chama cha CCM nchini kama chama cha siasa.

Machawa watacheka sana husu andiko hili, maana wao huamini Ccm ndo kila kitu, na tamko kama hili ni ufala tu maana nani hawezae kufuta chama ichi.

Sikia hii ni amri kuu toka kwa Mungu wangu, kwako msajiri wa yama vya siasa sio ombi ni lazima asema Bwana na huwezi jiuzuru, futa chama ichi mara moja ,asema Bwana.

Ccm Mungu amekinyima kibali cha kuongoza ,hii nimesema mara nyingi tu. Ndo maana ya uyaonayo ndani ya chama ichi na yanayostahibisha mfano:

1.Mkutano wao wa kumpitisha Mgombea umeona nini kimetokea na nini kinaendelea

2. Zipo picha mbalimbali katika mitandao ya kijamii ,9 Green Gurd wakiwa wamevalia kijeshi kabisa katika uniform za ccm , maana nyingine ccm kama chama wenda kipo na vikosi nje wa utaratibu wa kisheria wa nchi, na wenda hawa ndo huchafua vyombo vyetu vya ulinzi katika timiza majukum yao halali ya kisheria.

3.ccm kama chama pamoja na kupata ruzuku ila Matumizi yake hayaeleweki , wenda katika kufungamana na mwenyekiti wao ambae ni Ris wa watu wote lipo jambo kwangu naliona kwa macho ya tatu ,kuna tatizo ,hizo pesa kwangu nasema na Mungu wangu anasema sio za ruzuku ya chama pekee, kuna shida.

Kwa kuanzia ,Mungu anakutaka kukifuta chama ichi, sasa chagua kukifuta au ujiuzuru , Gharika kuu yaja na upanga mkali,asema Bwana .

Sioni tija kwako ingia katika msako huu wa Bwana ili hali huna hatia tofauti na kutekekeza .

Mungu akawe juu yako katika tekeleza haya ,sio ombi ni lazima tekeleza , kwamba futa chama ichi ,au jiuzuru asema Bwana.

Mengine nitakuandikia barua yako binafsi kwako .

MUNGU MWEMA.
Umenikumbusha ule utafiti usemao kwamba, "katika kila Watanzania wanne, mmoja ana tatizo la afya ya akili"!
 
Unafaa T Bag atoe kakitambaa ka mfuko wa suruali uwe unakashika mkitembea.
 
Wenye Imani haba waga tunasubiri matokeo, kila la heri naamn msajili kaskia
 
Wakuu Mbingu zimeitika ,niwasalimu kila mmoja kwa imani yake , hivyo hivyo neema ya Mungu ikawe juu yenu ,kila mmoja kwa imani yake Popote ulipo.

Rejea mada tajwa hapo juu ,

Leo namtaka msajili wa vyama vya siasa nchini tz kukifutilia mbali chama cha CCM nchini kama chama cha siasa.

Machawa watacheka sana husu andiko hili, maana wao huamini Ccm ndo kila kitu, na tamko kama hili ni ufala tu maana nani hawezae kufuta chama ichi.

Sikia hii ni amri kuu toka kwa Mungu wangu, kwako msajiri wa yama vya siasa sio ombi ni lazima asema Bwana na huwezi jiuzuru, futa chama ichi mara moja ,asema Bwana.

Ccm Mungu amekinyima kibali cha kuongoza ,hii nimesema mara nyingi tu. Ndo maana ya uyaonayo ndani ya chama ichi na yanayostahibisha mfano:

1.Mkutano wao wa kumpitisha Mgombea umeona nini kimetokea na nini kinaendelea

2. Zipo picha mbalimbali katika mitandao ya kijamii ,9 Green Gurd wakiwa wamevalia kijeshi kabisa katika uniform za ccm , maana nyingine ccm kama chama wenda kipo na vikosi nje wa utaratibu wa kisheria wa nchi, na wenda hawa ndo huchafua vyombo vyetu vya ulinzi katika timiza majukum yao halali ya kisheria.

3.ccm kama chama pamoja na kupata ruzuku ila Matumizi yake hayaeleweki , wenda katika kufungamana na mwenyekiti wao ambae ni Ris wa watu wote lipo jambo kwangu naliona kwa macho ya tatu ,kuna tatizo ,hizo pesa kwangu nasema na Mungu wangu anasema sio za ruzuku ya chama pekee, kuna shida.

Kwa kuanzia ,Mungu anakutaka kukifuta chama ichi, sasa chagua kukifuta au ujiuzuru , Gharika kuu yaja na upanga mkali,asema Bwana .

Sioni tija kwako ingia katika msako huu wa Bwana ili hali huna hatia tofauti na kutekekeza .

Mungu akawe juu yako katika tekeleza haya ,sio ombi ni lazima tekeleza , kwamba futa chama ichi ,au jiuzuru asema Bwana.

Mengine nitakuandikia barua yako binafsi kwako .

MUNGU MWEMA.
Mungu mwenyezi akuhurumie na akasaidie tangu sasa, daima na milele Aimen 🐒
 
Umenikumbusha ule utafiti usemao kwamba, "katika kila Watanzania wanne, mmoja ana tatizo la afya ya akili"!
Shukrani mkuu , wewe upo sawa sawia na mzima.

Note
Binadam wote wapo na afya ya akili tofauti ni level tu.

Mfano una umri wa miaka 40 na ufanya mambo ya ya umri wa miaka 18 ,je tukuweke group gani? afya ya akili au umezaliwa upya?

Je wajua hata baadhi ya wato anzia miaka 3 huweza pata afya ya akili ? Unajua kitu inaitwa ADHD(anxiety disorders, attention deficit/hypersensitivity disorder) kama ndivyo mpaka mtoto / malaika anaweza pata afya ya akili , wewe ni nani useme huna afya ya akili pia , mpaka wananga wenzako.
Je wajua uchawa ni kati ya afya ya akili tena level ya juu kasoro tu imebakia pelekwa MILEMBE Hosp?


Mnazungumzia afya ya akili wakati iyo afya ya akili hamjui.

Sio shida ,tutawafundisha kidogo kidogo, alafu unasema nimekukumbusha utafiti , upi umefanya wewe juu ya afya ya akili, mnasoma magazeti ya kufungia mandazi then mnasema utafit, msalimie Bro
 
Ni vyema huyo Mungu aliyemwagiza msajili wa vyama vya siasa aifute CCM angewafuta hao ambao wanaichafua nchi .
Maana akiita press lazima hao CCM wamuulize anakwenda kuongea nini na media ndipo wampe kibali.
Akiitamka CCM kwa ubaya kesho anaamkia UKONGA GEREZA KUU, je, akiifuta si atakutwa kwenye bwawa la kidatu anaeleo keshokutwa
 
Hawezi kukifuta aliye mtetua ni nani? Kama ni CCM hawezi kukifuta kwanza CCM nasikia siyo chama cha siasa, je kina usajili?
 
Kwani CCM kilisajiliwa lini kama chama Cha siasa katika mfumo wa vyama vingi?

Sasa chama kisichokuwepo kinautwaje?

Tusubiri.
 
Mungu hawezi kutoa Neno na asilitimize! Haijalishi litachukua muda Gani?

By the way! Umesema Mungu wako! Na Kwa kuwa hakuna Mungu mmoja, let's wait and see katika hayo uliyosema yakidhihirika kama vile Neno alivyofanyika mwili!

Kama ni Mungu katika Kristo Yesu, ndiye aliyekupa agizo hili kulifanya! Basi ni hakika atatekeleza hayo!

Lakini nisiseme mengi maana sijui Mungu wako ni yupi?

IMANI YAKO ISIPOONEKANA NI UPUUZI KWA WASIOAMINI BADO HUNA IMANI

NAYEYUKA KIWENDAWAZIMU!
 
Hawezi kukifuta aliye mtetua ni nani? Kama ni CCM hawezi kukifuta kwanza CCM nasikia siyo chama cha siasa, je kina usajili?
Ndo maana amepewa option mbili, atimize wajibu wake au ajiuzuru, sasa nitamshangaa kama ataogopa sijui aliemteua ambae ni binadam, na kushindwa kutii amri ya Mungu , atajua hajui,

Msajili futa chama cha ccm ,Bwana anasema kwa sauti iliyo kuu, ni lazima sio ombi
 
Wakuu Mbingu zimeitika ,niwasalimu kila mmoja kwa imani yake , hivyo hivyo neema ya Mungu ikawe juu yenu ,kila mmoja kwa imani yake Popote ulipo.

Rejea mada tajwa hapo juu ,

Leo namtaka msajili wa vyama vya siasa nchini tz kukifutilia mbali chama cha CCM nchini kama chama cha siasa.

Machawa watacheka sana husu andiko hili, maana wao huamini Ccm ndo kila kitu, na tamko kama hili ni ufala tu maana nani hawezae kufuta chama ichi.

Sikia hii ni amri kuu toka kwa Mungu wangu, kwako msajiri wa yama vya siasa sio ombi ni lazima asema Bwana na huwezi jiuzuru, futa chama ichi mara moja ,asema Bwana.

Ccm Mungu amekinyima kibali cha kuongoza ,hii nimesema mara nyingi tu. Ndo maana ya uyaonayo ndani ya chama ichi na yanayostahibisha mfano:

1.Mkutano wao wa kumpitisha Mgombea umeona nini kimetokea na nini kinaendelea

2. Zipo picha mbalimbali katika mitandao ya kijamii ,9 Green Gurd wakiwa wamevalia kijeshi kabisa katika uniform za ccm , maana nyingine ccm kama chama wenda kipo na vikosi nje wa utaratibu wa kisheria wa nchi, na wenda hawa ndo huchafua vyombo vyetu vya ulinzi katika timiza majukum yao halali ya kisheria.

3.ccm kama chama pamoja na kupata ruzuku ila Matumizi yake hayaeleweki , wenda katika kufungamana na mwenyekiti wao ambae ni Ris wa watu wote lipo jambo kwangu naliona kwa macho ya tatu ,kuna tatizo ,hizo pesa kwangu nasema na Mungu wangu anasema sio za ruzuku ya chama pekee, kuna shida.

Kwa kuanzia ,Mungu anakutaka kukifuta chama ichi, sasa chagua kukifuta au ujiuzuru , Gharika kuu yaja na upanga mkali,asema Bwana .

Sioni tija kwako ingia katika msako huu wa Bwana ili hali huna hatia tofauti na kutekekeza .

Mungu akawe juu yako katika tekeleza haya ,sio ombi ni lazima tekeleza , kwamba futa chama ichi ,au jiuzuru asema Bwana.

Mengine nitakuandikia barua yako binafsi kwako .

MUNGU MWEMA.
Hahaha.....Ndio yule jamaa Mtungi?
 
Mungu hawezi kutoa Neno na asilitimize! Haijalishi litachukua muda Gani?

By the way! Umesema Mungu wako! Na Kwa kuwa hakuna Mungu mmoja, let's wait and see katika hayo uliyosema yakidhihirika kama vile Neno alivyofanyika mwili!

Kama ni Mungu katika Kristo Yesu, ndiye aliyekupa agizo hili kulifanya! Basi ni hakika atatekeleza hayo!

Lakini nisiseme mengi maana sijui Mungu wako ni yupi?

IMANI YAKO ISIPOONEKANA NI UPUUZI KWA WASIOAMINI BADO HUNA IMANI

NAYEYUKA KIWENDAWAZIMU!
Hapa hatuna sababu ya maswali mkuu , narudia Mungu wangu anamtaka msajili kukifutilia mbali chama cha ccm hawezi hajiuzuru sio ombi ni lazima ate kelele, Mungu ameifuta ccm kimamlaka katika uongozi.

Mbingu zimefunguka
 
Back
Top Bottom