4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
- Thread starter
- #41
OK umeshinda, lakini chunga sana iyo laana ya ukoo wako inayokusumbuaInaonekana uko kwenye kiwango cha juu cha ugonjwa wa afya ya akili!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK umeshinda, lakini chunga sana iyo laana ya ukoo wako inayokusumbuaInaonekana uko kwenye kiwango cha juu cha ugonjwa wa afya ya akili!
Usisahau mimi ni Katibu wa Vikao vya Ukoo. Nikikwambia Mwenyekiti wangu ni hutaamini maana unamjua uzuri!OK umeshinda, lakini chunga sana iyo laana ya ukoo wako inayokusumbua
Mkuu hii imenishutua sana , kusema ukweli , naendelea kutafuta vyanzo mbalimbali ili kudhibisha hili , kama kweli hakika, nitajiuliza maswali mengi sana kwamba viongozi ambao wameliongoza taifa hili, tuwachukulieje kama walipitia chama ambacho hakina usajili, hii mbona inaweza kuwa hatari sana.Usajili haupo,
Msajili afuteje kisichokuwepo?
Inaweza kuwa katibu wa ukoo ila bado laana ipo pale paleUsisahau mimi ni Katibu wa Vikao vya Ukoo. Nikikwambia Mwenyekiti wangu ni hutaamini maana unamjua uzuri!
Sawa. Ila usiache kwenda Mirembe.Inaweza kuwa katibu wa ukoo ila bado laana ipo pale pale
SiInaonekana uko kwenye kiwango cha juu cha ugonjwa wa afya ya akili!
Sawa ila pia usiache fanya jambo flani kuondoa iyo laana , nini ufanye nitakujuza,Sawa. Ila usiache kwenda Mirembe.
Haifutwi.Wakuu Mbingu zimeitika, niwasalimu kila mmoja kwa imani yake, hivyo hivyo neema ya Mungu ikawe juu yenu ,kila mmoja kwa imani yake Popote ulipo.
Rejea mada tajwa hapo juu ,
Leo namtaka msajili wa vyama vya siasa nchini tz kukifutilia mbali chama cha CCM nchini kama chama cha siasa.
Machawa watacheka sana husu andiko hili, maana wao huamini CCM ndo kila kitu, na tamko kama hili ni ufala tu maana nani hawezae kufuta chama ichi.
Sikia hii ni amri kuu toka kwa Mungu wangu, kwako msajiri wa yama vya siasa sio ombi ni lazima asema Bwana na huwezi jiuzulu, futa chama ichi mara moja, asema Bwana.
CCM Mungu amekinyima kibali cha kuongoza, hii nimesema mara nyingi tu. Ndo maana ya uyaonayo ndani ya chama ichi na yanayostahibisha mfano:
1. Mkutano wao wa kumpitisha Mgombea umeona nini kimetokea na nini kinaendelea
2. Zipo picha mbalimbali katika mitandao ya kijamii ,9 Green Gurd wakiwa wamevalia kijeshi kabisa katika uniform za ccm , maana nyingine CCM kama chama wenda kipo na vikosi nje wa utaratibu wa kisheria wa nchi, na wenda hawa ndo huchafua vyombo vyetu vya ulinzi katika timiza majukum yao halali ya kisheria.
3. CCM kama chama pamoja na kupata ruzuku ila Matumizi yake hayaeleweki, wenda katika kufungamana na mwenyekiti wao ambae ni Ris wa watu wote lipo jambo kwangu naliona kwa macho ya tatu, kuna tatizo, hizo pesa kwangu nasema na Mungu wangu anasema sio za ruzuku ya chama pekee, kuna shida.
Kwa kuanzia, Mungu anakutaka kukifuta chama hichi, sasa chagua kukifuta au ujiuzulu, Gharika kuu yaja na upanga mkali,asema Bwana .
Sioni tija kwako ingia katika msako huu wa Bwana ili hali huna hatia tofauti na kutekekeza .
Mungu akawe juu yako katika tekeleza haya ,sio ombi ni lazima tekeleza, kwamba futa chama hichi ,au jiuzulu asema Bwana.
Mengine nitakuandikia barua yako binafsi kwako .
MUNGU MWEMA.