Kwako Msajili wa Vyama vya Siasa; Ifute mara moja CCM, imekosa kibali cha kuongoza

Usajili haupo,

Msajili afuteje kisichokuwepo?
Mkuu hii imenishutua sana , kusema ukweli , naendelea kutafuta vyanzo mbalimbali ili kudhibisha hili , kama kweli hakika, nitajiuliza maswali mengi sana kwamba viongozi ambao wameliongoza taifa hili, tuwachukulieje kama walipitia chama ambacho hakina usajili, hii mbona inaweza kuwa hatari sana.

Watu waliokua na vyeti feki walitumbuliwa, huwezi anzisha huduma yoyote ya kijamii bila kusajali , maana huduma utakayo itoa itakua batili sasa je vipi kama cha siasa hakina usajili viongozi watokanao na iyo chama wanaweza wekwa katika kundi lipi, hamna bwana ccm itakua na usajili kama sivyo aya ni makubwa sana
 
Inaonekana uko kwenye kiwango cha juu cha ugonjwa wa afya ya akili!
Si
Sawa. Ila usiache kwenda Mirembe.
Sawa ila pia usiache fanya jambo flani kuondoa iyo laana , nini ufanye nitakujuza,

Unabaya umejichanganya kuzungumzia afya ya akili siku mungu akanipa kibali nitakufundisha ili ukaijue vizuri afya ya akili .
Ila laana na afya ya akili ni vitu viwili tofauti naomba elewa hili
 
Haifutwi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…