Riz king
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 276
- 549
Kimsingi nataka nikueleze kuwa unaanza kuishi maisha ya kuongoza soka kizamani. Umejitia aibu sana na ndo hapo sishangai Msigwa kukucharaza mwaka2015.
Mwakalebela kama umeshindwa kuiongoza Yanga uache mipasho. Tuachie timu yetu, na ndiyo maana unafanya mambo ya hovyo pale Yanga ili Dr Msolla aonekane ni mpuuzi kwa sisi wanachama. Umeshindwa kuelewana na Msolla na siyo siri bifu mlilonalo na Msolla wewe ndo sababu. Na hata wajumbe wa kamati ya utendaji kujiuzulu ni wewe ndo uliongoza fitna dhidi ya GSM. Shukuru korona lakini sisi wanachama tutakukataa tu subiri hili janga lipite. Haujatushinda Wana Yanga tumbo wewe
Mwakalebela kama umeshindwa kuiongoza Yanga uache mipasho. Tuachie timu yetu, na ndiyo maana unafanya mambo ya hovyo pale Yanga ili Dr Msolla aonekane ni mpuuzi kwa sisi wanachama. Umeshindwa kuelewana na Msolla na siyo siri bifu mlilonalo na Msolla wewe ndo sababu. Na hata wajumbe wa kamati ya utendaji kujiuzulu ni wewe ndo uliongoza fitna dhidi ya GSM. Shukuru korona lakini sisi wanachama tutakukataa tu subiri hili janga lipite. Haujatushinda Wana Yanga tumbo wewe