Kwako Mwanamke; Wewe ni mwanamke wa aina gani kati ya hawa?

Kwako Mwanamke; Wewe ni mwanamke wa aina gani kati ya hawa?

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Jitazame wewe mwenyewe. Je, unaingia kwenye aina ipi kati ya hizo hapo chini?

Mimi niko namba 3 japo kuna wakati huwa nadondokea namba 2 pia

Screenshot from 2018-03-05 15-56-42.png
 
Hongera miss zomboko,
Kuna wanawake wenzako wanapenda KULA lkn hawajui kupika na hawapendi kupika.

Sasa sijui tuwafanyaje hawa wa dizaini hii [emoji46][emoji46][emoji46][emoji30][emoji30]
 
Hongera miss zomboko,
Kuna wanawake wenzako wanapenda KULA lkn hawajui kupika na hawapendi kupika.

Sasa sijui tuwafanyaje hawa wa dizaini hii [emoji46][emoji46][emoji46][emoji30][emoji30]
Wewe ni mwanamke wa aina gani?[emoji23]
 
Mwanamke bila kujua kupika ni shida, ila na mwanaume ni shida zaidi.....
 
Hahaha... kaone kwanza kalivyo kazuri...
Ndiyo maana ukaanguka kutoka kwenye nanilii wakati unapika...
Hahahahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] usinikumbushe yaniiiiiii
 
Hapa momo sipo,lakini kiukweli watoto wa kike wa sasa sijui baadhi yenu mtafika wapi
 
Back
Top Bottom