Kwako Mzee Wangu Mohammed Said

Huwezi kuwa na jibu kwa vile madai yako hayana msingi. Kulalamika lalamika kama mtoto haitawasaidia waislam wenzako. Ukijikita kuwahamasisha na kuwapa mbinu wafanyeje ili nao wa dominate utakuwa umewasaidia.
Peaky...
Silalamiki.

Hapa mimi na wewe tuko katika mjadala na wala wewe hulalamiki katika kunijibu ila tunajadiliana.

Naona lugha yako imekuwa na hamaki.
 
Adili...
Kazi yangu ni kuandika ukweli na wengi wamejifunza upya historia ya uhuru wa Tanganyika.
 
Kwa nini mnataka kuleta uwiano kwa jambo ambalo ndani yake hakuna uwiano?

Hata ukikataa kwa takwimu zako Uchwara, idadi ya wasomi Wakristo ni kubwa mara tatu ya idadi ya Waislamu wasomi.

Sasa, kwa nini kundi dogo lipewe kipaumbele katika teuzi kwa minajili ya kuleta uwiano sawa wa kidini? Unataka mtu apewe nafasi kwa sababu tu ni wa dini fulani ili kuleta balansi? Kufanya hivyo tutakuwa tunatengeneza taifa la hovyo.

Lakini ukweli ulio wazi pia ni kuwa, idadi ya Wakristo Tanzania ni kubwa zaidi ya waislamu. Pamoja na kujitahidi kwao kuzaa ovyo ili kupata wafuasi wengi, lakini bado idadi yao ni ndogo mno. Na kuzaa huko kunazalisha idadi ya wahuni wengi wa dini husika.

Kwa nini tulete balansi kwenye sehemu penye uwiano usio sawia?

Mzee wangu Mohammed aache inferiority complex.
 
Nadhani tuna wahindu,budha na wengine wengi tu......swala la uteuzi nadhani linazingatia zaidi uwezo na uzoefu katika baadhi ya maeneo......kitu kizuri maraisi wengi wamepita nchi wakiwa na tofauti za Imani ......hili jambo sio zuri kulizungumzia hasa Imani za watu maana hata ukristo wenyewe haufanani......
 
kwa muktadha huu hao waanzilishi wa AA lengo lao ilikuwa ni kupigania uhuru wa dini na ukipatikana nchi iwe ya kidini? Ndio kusema tanganyika ingekuwa nchi ya kiislam na Tanzania inapaswa kuwa jamhuri ya kiislam kwa kuwa hao waasisi walikuwa ni waislam?
 
ni chama cha siasa chenye element za udini. Ndio cuf ya wakati ule, hawakuona aibu kuji brand kwa dini ile katika mikao ya mikutano yao ya kampeni sura ilikuwa ni ya kidini

CHADEMA je hakina udini?
 

aliekwambia nchi yetu haina dini ni nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…