Kwako Mzee Wangu Mohammed Said

tangu ianzishwe lini uliona ina sura ya udini, kampeni zake watu wakikaa kidini? CHADEMA ni chama cha wote hakina udini

90% ya viongozi wake ni wagalatia halafu unasema hakina udini? au udini huwa unakuja kwa waislamu tu?
 
Kwan
Kwani vigezo vya kazi vinaangalia dini? Mnatumia vigezo gani kudhibitisha dini ya mtu au imani?
 
Nafauatilia huu mjadala nimegundua mambo kadhaa

1. Tukisema udini tz ni dini ya kiislam kwanini? Kwasababu taratibu zake ni za kijamaa haziendani na dini nyingine ndio maana waislam wanaandamwa au kuonekana tofauti na wa dini nyingine

2. Ukiristo umeimarika na una nguvu za kidola. Hapa ni kwanzia ngazi ya kimataifa ambapo ndio mataifa yenye nguvu duniani kwaiyo wakiristo wanajiamini na kuforce kutokuelewa agenda zinazofanywa na wakiristo wenzao kwakuwa ndio wenye mamlaka. Kwa waislam salini sana dola yenu ya kiislam irudi tena kama enzi za ottoman ndiyo mtaeleweka

3. Humu jamii forum wengi ni wakiristu na wachache waislam ambao hawana uelewa wa dini ya kiislam kwaiyo kuendesha mada za kiislam kwa wagaratia huwezi eleweka hata kidogo pole kwa mzee wetu Mohamed said vumilia tu hauna namna.

4. Hakuna mtu atakae kubali nduguye aonelewe au ashambuliwe kwa namna yoyote ile ndio maana unapolishambulia kwa hoja kundi lingine, lingine litakuja na hoja mbadala kwaiyo tuvumiliane tu dunia haijaumbwa sawa
 
90% ya viongozi wake ni wagalatia halafu unasema hakina udini? au udini huwa unakuja kwa waislamu tu?
hii nchi kila mtu ana uhuru wa kuabudu imani aipendayo. Unaweza kubadili dini ili tu upate fursa kwa walizo nazo. Badili dini uwe mgalatia nawe uongeze hiyo asilimia upate uteuzi kama umeona hiyo ndiyo tija
 
Leaking...
Naomba nifamishe maana ya "complex" na "inferiority" kwa Kiswahili ili nielewe hoja yako.
 
Ingefaa kwa hizo nafasi Mohamed Said au mtoa mada mtuwekee hapa data za uteuzi kwa awamu hii ya 6 tuone..
Mohamed Said
 
Leaking...
Naomba nifamishe maana ya "complex" na "inferiority" kwa Kiswahili ili nielewe hoja yako.
"Inferiority complex" ni ile hali ya kujihisi mnyonge au dhaifu kwenye mambo fulani hata kama kiuhalisia siyo kweli. Kutojiamini
 
Ingawa wkt unaanza hoja yako ulisema unamkosoa mzee Saidi vikali lkn nilichokiona ni hadithi ya kusadikika na umeamua kujiridhisha mwenyewe

Unapoongelea kwamba dini ni swala la moyoni kwahiyo mhusika ndo anajua mwenyewe hii ni hadaa kubwa,,,sijui kama waislamu wangekuwa wengi kuliko wakristo ungethubutu kusema hivyo?

Pili umezungumzia kwamba kuna pool ambalo huenda wateule wanachukuliwa humo,je ni nafasi gani ambazo zinakosa wasomi wa kiislamu?
 
Hawa ndiyo wale vijana wa hovyo walio zeeka nasema uongo nduguzangu?
Cc Mohamed Said
 
Hiki kizee kiwekwe kwenye orodha ya magaidi hatari.Ningekuwa mimi jiwe kusingekuwa hata na hizo sijui 10%,5% au 20%,zingekuwa zinasoma 1%,0.5% nk ili kukipa hiki kizee presha kukiua kabisa na presha maana kinapenda sana ubaguzi
Evil...
Kuna mtu siku chache zilizopita alinitukana kwa kuniita ''Kibabu.''
Soma hapo chini majibu yangu kwake:

''Mimi ninapoona mtu analeta kejeli, matusi na "name calling" huwa namkwepa simjibu.

Ila nakujibu wewe kutaka kukuongezea maarifa ili uelimike na ukipendezewa ujifunze adabu.

Mimi ukiniita "Kibabu," katika msamiati wetu watu wa Pwani unakuwa umekosea ikiwa nia yako ilikuwa kunitukana.

Ungeniita, "Kizee."
Ungefanya hivyo ungekuwa umenitukana kama ulivyokusudia.

Kikwetu, "Kibabu," ni jina anapewa mtoto mchanga wa kiume ambae bado hajapewa jina na akiwa mwanamke anaitwa, "Kibibi."

Wewe tusi lako umepatia kuniita ''Kizee.''
Hakika mimi ni mzee nina miaka 72 sasa.

Ikiwa Allah ataniongezea umri basi sasa ndiyo nakimbilia kuwa ''Kizee.''
Hunifahamu laiti ungrnijua labla ungefanya staha.

Mimi si mbaguzi laiti ningrkuwa mbaguzi nisingeweza kuingiliana na vyuo, vyombo vya habari na wachapaji vitabu walichapa kazi zangu.

Hali kadhalika hata hapa JF nisingeheshimika:




 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…