Kwako Prof. Janabi, Heshima yako na hongera sana kwa kuitendea haki taaluma yako vyema

Kwako Prof. Janabi, Heshima yako na hongera sana kwa kuitendea haki taaluma yako vyema

Kwako Prof JANABI.
Heshima yako na hongera sana kwakuitendea haki taaluma yako vyema.

Tarehe 12/6/2021 umewasilisha international report kwa Mh Rais.
Ulijipanga vizuri mno.
Ulitulia sana,
Body language inamvuta msikilizaji tangu ulivyopresent kabla ya uzinduzi na hatimaye hotuba yako nje.
Prof JANABI nilikuwa nafuatilia kupitia luninga huku mikoani.BIG UP,

Tulikuwa na Maprofesa wazuri pale mlimani tangu wameingizwa kule MJENGONI wamekuwa waongo hadi wanafutwa uprofesa na akina msukuma.

KATIBA INAKANYAGWA, MAPROFESA WA SHERIA WANAPIGA MAKOFI.
ASANTE PROF JANABI NA TEAM YAKO KWA MPANGILIO WA PRESENTATION
Aseeeee
 
Hongera kwake ....najua watu we.gi walimchukia alipoletwa ghafla toka ikulu....baada JK muda kwisha..wakamchukia sana nadhani sasa wamepoa na mambo yaenda sawa
Hapa kuna jambo kubwa sana hila wachache wanaweza kukuelewa.

Maisha yanaenda kwa kasi ajabu!.
 
Kwako Prof JANABI.
Heshima yako na hongera sana kwakuitendea haki taaluma yako vyema.

Tarehe 12/6/2021 umewasilisha international report kwa Mh Rais.
Ulijipanga vizuri mno.
Ulitulia sana,
Body language inamvuta msikilizaji tangu ulivyopresent kabla ya uzinduzi na hatimaye hotuba yako nje.
Prof JANABI nilikuwa nafuatilia kupitia luninga huku mikoani.BIG UP,

Tulikuwa na Maprofesa wazuri pale mlimani tangu wameingizwa kule MJENGONI wamekuwa waongo hadi wanafutwa uprofesa na akina msukuma.

KATIBA INAKANYAGWA, MAPROFESA WA SHERIA WANAPIGA MAKOFI.
ASANTE PROF JANABI NA TEAM YAKO KWA MPANGILIO WA PRESENTATION
Naunga mkono hoja, huyu jamaa sio mchezo, namkubali sana. Hata kwenye Corona ni yeye pekee aliongea ukweli kuhusu corona
P
 
Prof kwanza alivaa mavazi ya kikazi hahaaa....
Pili alitumia muda wa hotuba yake kuwatambua wasaidizi wake na wafanyakazi wa vitengo vyote vya JKCI huku akieleza kwa ufupi majukumu yao.

Tatu alieleza mambo kwa ufupi na kitaalam kuhusu kinachoendelea pale JKCI.

Hotuba haikuwa na mbwembwe za kisiasa, kiki wala kuji-amplify.

Binafsi niliifurahia.
Sikumuona wala kusikia alichosema lakini kwa maelezo yako nimeelewa, asante sana, ilipaswa mtoa mada aandike na haya uliyoandika wewe
 
Naunga mkono hoja, huyu jamaa sio mchezo, namkubali sana. Hata kwenye Corona ni yeye pekee aliongea ukweli kuhusu corona
P
Kumbe ilikuwa inawezekana kusema ukweli na usifanywe kitu!
 
Yuko vzr, hii nchi maprofesa tumebaki wachache ukiacha wale wa jalalani[emoji848]
 
Prof kwanza alivaa mavazi ya kikazi hahaaa....
Pili alitumia muda wa hotuba yake kuwatambua wasaidizi wake na wafanyakazi wa vitengo vyote vya JKCI huku akieleza kwa ufupi majukumu yao.

Tatu alieleza mambo kwa ufupi na kitaalam kuhusu kinachoendelea pale JKCI.

Hotuba haikuwa na mbwembwe za kisiasa, kiki wala kuji-amplify.

Binafsi niliifurahia.
JKCI ndio nini ?
 
Maprofessa tanzania hawana tofauti na watu wa kitaa cha keko baadhi yao
 
Mungu akutangulie prof.janabi endelea kuwasaidia watanzania,pamoja na wale wachache wanaokusema vibaya,uwasamehe
 
Back
Top Bottom