silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,278
- 1,794
- Thread starter
- #21
unaongea bila kujua unachoongea, mambo haya yalikuweko wakati Magufuli, mpaka kina Sabaya walikua wanapita madukani kudai kodi, matokeo yake biashara nyingi zikafungwa au zikafa. sasa hivi Sabaya yuko Mahakamani na Serikali pamoja na tra wamemkana.Kuna point umeigusia hapo na hiyo ndio inayosababisha wapiga deal walielie.
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
huwezi kuweka viwango vikubwa halafu ukalazimisha watu walipe ukategemea matokeo chanya.