DOKEZO Kwako RPC; Mama huyu anayeuza dawa za kulevya Mbezi Beach anaharibu kizazi na kuhifadhi mali za wizi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Huku kigamboni nakutana sana na viroba vya bange mzigo kutoka morogoro aisee hii biashara ngumu sana kuzuia ngumu mno
Cha mtoto
Mabasi ya Nairobi yana SEHEMU yakifika yanashusha mzigo kabla ya kibaha

Gafla unasikia ambulance inawapitaa noliinoliiiii unahisi wanawahi kwa mwamposaa weweeeeee

Kaushaaa chain nzitooo
 
Wavuta unga hawalazimishwi wajipeleka wenyewe, kosa si la muuza unga. Wakabaji wakamatwe wapelekwe mahakamani.
 
Cha mtoto
Mabasi ya Nairobi yana SEHEMU yakifika yanashusha mzigo kabla ya kibaha

Gafla unasikia ambulance inawapitaa noliinoliiiii unahisi wanawahi kwa mwamposaa weweeeeee

Kaushaaa chain nzitooo
Unaweza ukanitajia bus lolote la Nairobi linalopita Kibaha?
 
Kulikuwa na mjaluo mmoja pale hatari sana

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…