DOKEZO Kwako RPC; Mama huyu anayeuza dawa za kulevya Mbezi Beach anaharibu kizazi na kuhifadhi mali za wizi

DOKEZO Kwako RPC; Mama huyu anayeuza dawa za kulevya Mbezi Beach anaharibu kizazi na kuhifadhi mali za wizi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ebu tuwekwe picha yake tafadhali!
Anaitwa mama Habi. Anaishi maeneo ya Makazi Mapya Mbezi Beach

Serikali za mitaa wanamjua na wananchi walishapeleka taarifa zote juu ya mtandao wa huyu dada

Huyu dada anaishi na wahuni wa Kawe wanaokaba na kuumiza watu. Wanavamia usiku nyumba za watu na kuwajeruhi kabla ya kuwaibia tv, simu nk. Baada ya kuiba hukimbiza nyumbani kwa huyu dada na kuvihifadhi

Polisi Kawe wameshajulishwa na wameishia kwenda pale na kuondoka kila wiki sasa sijui wanafanya ukaguzi ama lah

Wiki iliyopita nyumba zaidi ya 4 zimeibiwa simu tv na baadhi ya viooo vya magari na bajaji

Huyu dada alishawahi kukamatwa na alipotoka aliwambiwa watu yeye ni mwamba na hakuna wa kumfunga kamwee

Sasa kinachoendelea huyu dada amefungua pub kama kujificha na kuwalinda wale wahuni

Ukufika palee unaonaa wahuni wakikaa nje na kuvuta bangi nk

Majuzi tu wamepiga na kupora watu saaa saba mchana mazimaaaa

N kama vile wanaserikali yaoo ama lah

Tunaomba RPC, Hili suala polisi Kawe wanajua

Vijana wameathirika hivi tunaandika kuna makundi yanatoka upande wa JK shule kwenda kwa huyu dada kununua skanka

Na wanapovuta zikiwapanda wanaanza kuwangangania watu ovyo na kuwaibia

Vijana wanangamia tunaomba okoa vizazi vya mbezi beach mh rpc

Kwa habari zaidi kuwapata wasilianen na serkl za mitaa watawaeleza kila kitu juu ya uchafu wa hii sehemu ya dada yetu

Mungu ibariki tanzania
 
Anaitwa mama Habi. Anaishi maeneo ya Makazi Mapya Mbezi Beach

Serikali za mitaa wanamjua na wananchi walishapeleka taarifa zote juu ya mtandao wa huyu dada

Huyu dada anaishi na wahuni wa Kawe wanaokaba na kuumiza watu. Wanavamia usiku nyumba za watu na kuwajeruhi kabla ya kuwaibia tv, simu nk. Baada ya kuiba hukimbiza nyumbani kwa huyu dada na kuvihifadhi

Polisi Kawe wameshajulishwa na wameishia kwenda pale na kuondoka kila wiki sasa sijui wanafanya ukaguzi ama lah

Wiki iliyopita nyumba zaidi ya 4 zimeibiwa simu tv na baadhi ya viooo vya magari na bajaji

Huyu dada alishawahi kukamatwa na alipotoka aliwambiwa watu yeye ni mwamba na hakuna wa kumfunga kamwee

Sasa kinachoendelea huyu dada amefungua pub kama kujificha na kuwalinda wale wahuni

Ukufika palee unaonaa wahuni wakikaa nje na kuvuta bangi nk

Majuzi tu wamepiga na kupora watu saaa saba mchana mazimaaaa

N kama vile wanaserikali yaoo ama lah

Tunaomba RPC, Hili suala polisi Kawe wanajua

Vijana wameathirika hivi tunaandika kuna makundi yanatoka upande wa JK shule kwenda kwa huyu dada kununua skanka

Na wanapovuta zikiwapanda wanaanza kuwangangania watu ovyo na kuwaibia

Vijana wanangamia tunaomba okoa vizazi vya mbezi beach mh rpc

Kwa habari zaidi kuwapata wasilianen na serkl za mitaa watawaeleza kila kitu juu ya uchafu wa hii sehemu ya dada yetu

Mungu ibariki tanzania
Utakuta hao walinda usalama wako kwenye payroll ya dada. Kazi mnayo.....
 
Hii ni hatari sana...RPC aingilie kati wananchi wanateseka na vijana wanazidi kuteketea
MKUU kila bar na pub za mbezi beach unakuta vijana wako hoi wamechoka na madawa na bangi
 
Hivi hakuna namna waziri apewe wizara kusafisha walau mwezi mmoja kisha aendelee na wizara yake permanent? Maana alifaa Mh.Gwajima walau mwezi mmoja tu asasfishe hapa
 
Kwa hiyo ina maana wamejitengenezea kamradi hapo
Kila wakienda wanachukua chao wanasepa
Halafu mnasema mnalindwa na wazalendo kuwa tuko salama
 
Kama umeweza hadi ku andika kwa sentensi na sarufi sawia bhas nakubalii kwamba huyo dada ni jabali na tishio hayo maeneo yenu.

Wahusika watajua namna ya kufanya hapo.
 
Anaitwa mama Habi. Anaishi maeneo ya Makazi Mapya Mbezi Beach

Serikali za mitaa wanamjua na wananchi walishapeleka taarifa zote juu ya mtandao wa huyu dada

Huyu dada anaishi na wahuni wa Kawe wanaokaba na kuumiza watu. Wanavamia usiku nyumba za watu na kuwajeruhi kabla ya kuwaibia tv, simu nk. Baada ya kuiba hukimbiza nyumbani kwa huyu dada na kuvihifadhi

Polisi Kawe wameshajulishwa na wameishia kwenda pale na kuondoka kila wiki sasa sijui wanafanya ukaguzi ama lah

Wiki iliyopita nyumba zaidi ya 4 zimeibiwa simu tv na baadhi ya viooo vya magari na bajaji

Huyu dada alishawahi kukamatwa na alipotoka aliwambiwa watu yeye ni mwamba na hakuna wa kumfunga kamwee

Sasa kinachoendelea huyu dada amefungua pub kama kujificha na kuwalinda wale wahuni

Ukufika palee unaonaa wahuni wakikaa nje na kuvuta bangi nk

Majuzi tu wamepiga na kupora watu saaa saba mchana mazimaaaa

N kama vile wanaserikali yaoo ama lah

Tunaomba RPC, Hili suala polisi Kawe wanajua

Vijana wameathirika hivi tunaandika kuna makundi yanatoka upande wa JK shule kwenda kwa huyu dada kununua skanka

Na wanapovuta zikiwapanda wanaanza kuwangangania watu ovyo na kuwaibia

Vijana wanangamia tunaomba okoa vizazi vya mbezi beach mh rpc

Kwa habari zaidi kuwapata wasilianen na serkl za mitaa watawaeleza kila kitu juu ya uchafu wa hii sehemu ya dada yetu

Mungu ibariki tanzania

Ukitaka RPC afike sasa hivi mwambie CDM wako hapo Pub wanapanga maandamano! Hiyo Pub itavunjwa fasta bila kuuliza
 
Anaitwa mama Habi. Anaishi maeneo ya Makazi Mapya Mbezi Beach

Serikali za mitaa wanamjua na wananchi walishapeleka taarifa zote juu ya mtandao wa huyu dada

Huyu dada anaishi na wahuni wa Kawe wanaokaba na kuumiza watu. Wanavamia usiku nyumba za watu na kuwajeruhi kabla ya kuwaibia tv, simu nk. Baada ya kuiba hukimbiza nyumbani kwa huyu dada na kuvihifadhi

Polisi Kawe wameshajulishwa na wameishia kwenda pale na kuondoka kila wiki sasa sijui wanafanya ukaguzi ama lah

Wiki iliyopita nyumba zaidi ya 4 zimeibiwa simu tv na baadhi ya viooo vya magari na bajaji

Huyu dada alishawahi kukamatwa na alipotoka aliwambiwa watu yeye ni mwamba na hakuna wa kumfunga kamwee

Sasa kinachoendelea huyu dada amefungua pub kama kujificha na kuwalinda wale wahuni

Ukufika palee unaonaa wahuni wakikaa nje na kuvuta bangi nk

Majuzi tu wamepiga na kupora watu saaa saba mchana mazimaaaa

N kama vile wanaserikali yaoo ama lah

Tunaomba RPC, Hili suala polisi Kawe wanajua

Vijana wameathirika hivi tunaandika kuna makundi yanatoka upande wa JK shule kwenda kwa huyu dada kununua skanka

Na wanapovuta zikiwapanda wanaanza kuwangangania watu ovyo na kuwaibia

Vijana wanangamia tunaomba okoa vizazi vya mbezi beach mh rpc

Kwa habari zaidi kuwapata wasilianen na serkl za mitaa watawaeleza kila kitu juu ya uchafu wa hii sehemu ya dada yetu

Mungu ibariki tanzania
Umesikika
 
NKAHISI mwamba anataka kytusahaulishaa nn YAAN nilikuwa choon kama dk 7 sikojii sinyi nasikilizia kama KUNA tukio nkarudi mezan weeweee
Mzee tulia pombe ziishe uandike vizuri
 
Wanaume wa Daslam mnatia aibu aisee yaani Mwanamke anawakosesha usingiz kweli? Emu badiliken bwana!!
 
Anaitwa mama Habi. Anaishi maeneo ya Makazi Mapya Mbezi Beach

Serikali za mitaa wanamjua na wananchi walishapeleka taarifa zote juu ya mtandao wa huyu dada

Huyu dada anaishi na wahuni wa Kawe wanaokaba na kuumiza watu. Wanavamia usiku nyumba za watu na kuwajeruhi kabla ya kuwaibia tv, simu nk. Baada ya kuiba hukimbiza nyumbani kwa huyu dada na kuvihifadhi

Polisi Kawe wameshajulishwa na wameishia kwenda pale na kuondoka kila wiki sasa sijui wanafanya ukaguzi ama lah

Wiki iliyopita nyumba zaidi ya 4 zimeibiwa simu tv na baadhi ya viooo vya magari na bajaji

Huyu dada alishawahi kukamatwa na alipotoka aliwambiwa watu yeye ni mwamba na hakuna wa kumfunga kamwee

Sasa kinachoendelea huyu dada amefungua pub kama kujificha na kuwalinda wale wahuni

Ukufika palee unaonaa wahuni wakikaa nje na kuvuta bangi nk

Majuzi tu wamepiga na kupora watu saaa saba mchana mazimaaaa

N kama vile wanaserikali yaoo ama lah

Tunaomba RPC, Hili suala polisi Kawe wanajua

Vijana wameathirika hivi tunaandika kuna makundi yanatoka upande wa JK shule kwenda kwa huyu dada kununua skanka

Na wanapovuta zikiwapanda wanaanza kuwangangania watu ovyo na kuwaibia

Vijana wanangamia tunaomba okoa vizazi vya mbezi beach mh rpc

Kwa habari zaidi kuwapata wasilianen na serkl za mitaa watawaeleza kila kitu juu ya uchafu wa hii sehemu ya dada yetu

Mungu ibariki tanzania
Eleza vizuri, anakaa nyumba namba ngapi na mtaa upi, weka na picha yake kabisa
 
Ishi maisha Yako mzee acha shobo na biashara za watu wamewekeza mamilioni wewe unakuja kishusha gazeti lako hapa jamii forum
We choko mfokoleww kinyesi nini?!! Watu wanakabwa na kuibiwa mali halafu unaongea utaahira gani hapa?
 
Anaitwa mama Habi. Anaishi maeneo ya Makazi Mapya Mbezi Beach

Serikali za mitaa wanamjua na wananchi walishapeleka taarifa zote juu ya mtandao wa huyu dada

Huyu dada anaishi na wahuni wa Kawe wanaokaba na kuumiza watu. Wanavamia usiku nyumba za watu na kuwajeruhi kabla ya kuwaibia tv, simu nk. Baada ya kuiba hukimbiza nyumbani kwa huyu dada na kuvihifadhi

Polisi Kawe wameshajulishwa na wameishia kwenda pale na kuondoka kila wiki sasa sijui wanafanya ukaguzi ama lah

Wiki iliyopita nyumba zaidi ya 4 zimeibiwa simu tv na baadhi ya viooo vya magari na bajaji

Huyu dada alishawahi kukamatwa na alipotoka aliwambiwa watu yeye ni mwamba na hakuna wa kumfunga kamwee

Sasa kinachoendelea huyu dada amefungua pub kama kujificha na kuwalinda wale wahuni

Ukufika palee unaonaa wahuni wakikaa nje na kuvuta bangi nk

Majuzi tu wamepiga na kupora watu saaa saba mchana mazimaaaa

N kama vile wanaserikali yaoo ama lah

Tunaomba RPC, Hili suala polisi Kawe wanajua

Vijana wameathirika hivi tunaandika kuna makundi yanatoka upande wa JK shule kwenda kwa huyu dada kununua skanka

Na wanapovuta zikiwapanda wanaanza kuwangangania watu ovyo na kuwaibia

Vijana wanangamia tunaomba okoa vizazi vya mbezi beach mh rpc

Kwa habari zaidi kuwapata wasilianen na serkl za mitaa watawaeleza kila kitu juu ya uchafu wa hii sehemu ya dada yetu

Mungu ibariki tanzania
Ahsante kwa taarifa nzuri ndugu mkongwe pdidy.. pia ahsante kwa muandiko murua kweli mwaka mpya mambo mapya
 
Mkuuu kulee usalama labdaa saa NNE asbh

Mi niliiwahi kufanya mazoezi asbh kule wakaja wahuni wawili wakampora mama MMOJA simu

Walipofika karibu Yangu wakapunguza mbioo wakawa kama wako na mm

Gafla nkasikia. Wezii haooo nkashangaa jamaa wameniacha gaflaa

Kumbe mama MMOJA anaenda hospt mwanae Yuko icu wakampitia alililia aisee

BAHATI simu naiweka kwenye SEHEMU za risi KUNA bukta nyingine

Nkamwomba twende mpaka chini kwenye lami nkamtolea 12"000. Kwa simu nkamshauri hospt nenda mama aisee bado kidogo apige magoti nkamwomba stoooooop pls..na pole sana

Pona Yangu nilikuwa na jezi za 🏀
Alipofika yule mdadaa analia nkauliza mbona waliponkaribia walikuwa kama wanafanya mazoezi na mm

Aisee sijarudi Tena kuleee never

Aise
Tunaoteseka ni sisi tunaoishi around hayo maeneo
 
Back
Top Bottom