DOKEZO Kwako RPC; Mama huyu anayeuza dawa za kulevya Mbezi Beach anaharibu kizazi na kuhifadhi mali za wizi

DOKEZO Kwako RPC; Mama huyu anayeuza dawa za kulevya Mbezi Beach anaharibu kizazi na kuhifadhi mali za wizi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuuu kulee usalama labdaa saa NNE asbh

Mi niliiwahi kufanya mazoezi asbh kule wakaja wahuni wawili wakampora mama MMOJA simu

Walipofika karibu Yangu wakapunguza mbioo wakawa kama wako na mm

Gafla nkasikia. Wezii haooo nkashangaa jamaa wameniacha gaflaa

Kumbe mama MMOJA anaenda hospt mwanae Yuko icu wakampitia alililia aisee

BAHATI simu naiweka kwenye SEHEMU za risi KUNA bukta nyingine

Nkamwomba twende mpaka chini kwenye lami nkamtolea 12"000. Kwa simu nkamshauri hospt nenda mama aisee bado kidogo apige magoti nkamwomba stoooooop pls..na pole sana

Pona Yangu nilikuwa na jezi za 🏀
Alipofika yule mdadaa analia nkauliza mbona waliponkaribia walikuwa kama wanafanya mazoezi na mm

Aisee sijarudi Tena kuleee never

Aise
Kumbe ni kama mitaa ya Porte au Prince - Haiti.
Kule Arusha kuna ule mtaa hata askari walikuwa wanasanda - umeshakuwa mada humu.
Mada kama hizi ndio zinsipaishs JF, sio ushetani unaonadiwa humu
 
Anaitwa mama Habi. Anaishi maeneo ya Makazi Mapya Mbezi Beach

Serikali za mitaa wanamjua na wananchi walishapeleka taarifa zote juu ya mtandao wa huyu dada

Huyu dada anaishi na wahuni wa Kawe wanaokaba na kuumiza watu. Wanavamia usiku nyumba za watu na kuwajeruhi kabla ya kuwaibia tv, simu nk. Baada ya kuiba hukimbiza nyumbani kwa huyu dada na kuvihifadhi

Polisi Kawe wameshajulishwa na wameishia kwenda pale na kuondoka kila wiki sasa sijui wanafanya ukaguzi ama lah

Wiki iliyopita nyumba zaidi ya 4 zimeibiwa simu tv na baadhi ya viooo vya magari na bajaji

Huyu dada alishawahi kukamatwa na alipotoka aliwambiwa watu yeye ni mwamba na hakuna wa kumfunga kamwee

Sasa kinachoendelea huyu dada amefungua pub kama kujificha na kuwalinda wale wahuni

Ukufika palee unaonaa wahuni wakikaa nje na kuvuta bangi nk

Majuzi tu wamepiga na kupora watu saaa saba mchana mazimaaaa

N kama vile wanaserikali yaoo ama lah

Tunaomba RPC, Hili suala polisi Kawe wanajua

Vijana wameathirika hivi tunaandika kuna makundi yanatoka upande wa JK shule kwenda kwa huyu dada kununua skanka

Na wanapovuta zikiwapanda wanaanza kuwangangania watu ovyo na kuwaibia

Vijana wanangamia tunaomba okoa vizazi vya mbezi beach mh rpc

Kwa habari zaidi kuwapata wasilianen na serkl za mitaa watawaeleza kila kitu juu ya uchafu wa hii sehemu ya dada yetu

Mungu ibariki tanzania
Kwahiyo unadhania Jeshi la polisi halimjui?,ama unafikiri wauza Unga ni watu mpechempeche?,pale MNH METHADONE NDIO SOKO KUU LA UNGA,NA NDIO MAANA KUNA CENTRE YA MATEJA PALE,NENDA MIDA KUANZIA SAA TISA USIKU SIMAMA MAENEO YA HOSTEL ZA WATOTO WENYE VICHWA VIKUBWA NDIO UTAJUA, ZINAINGIA NDINGA AMBAZO HUJAWAI KUDHANIA KAMA KUNA WATU WANAMILIKI BONGO TENA WANAUZA KWA USHINDANI,
 
Anaitwa mama Habi. Anaishi maeneo ya Makazi Mapya Mbezi Beach

Serikali za mitaa wanamjua na wananchi walishapeleka taarifa zote juu ya mtandao wa huyu dada

Huyu dada anaishi na wahuni wa Kawe wanaokaba na kuumiza watu. Wanavamia usiku nyumba za watu na kuwajeruhi kabla ya kuwaibia tv, simu nk. Baada ya kuiba hukimbiza nyumbani kwa huyu dada na kuvihifadhi

Polisi Kawe wameshajulishwa na wameishia kwenda pale na kuondoka kila wiki sasa sijui wanafanya ukaguzi ama lah

Wiki iliyopita nyumba zaidi ya 4 zimeibiwa simu tv na baadhi ya viooo vya magari na bajaji

Huyu dada alishawahi kukamatwa na alipotoka aliwambiwa watu yeye ni mwamba na hakuna wa kumfunga kamwee

Sasa kinachoendelea huyu dada amefungua pub kama kujificha na kuwalinda wale wahuni

Ukufika palee unaonaa wahuni wakikaa nje na kuvuta bangi nk

Majuzi tu wamepiga na kupora watu saaa saba mchana mazimaaaa

N kama vile wanaserikali yaoo ama lah

Tunaomba RPC, Hili suala polisi Kawe wanajua

Vijana wameathirika hivi tunaandika kuna makundi yanatoka upande wa JK shule kwenda kwa huyu dada kununua skanka

Na wanapovuta zikiwapanda wanaanza kuwangangania watu ovyo na kuwaibia

Vijana wanangamia tunaomba okoa vizazi vya mbezi beach mh rpc

Kwa habari zaidi kuwapata wasilianen na serkl za mitaa watawaeleza kila kitu juu ya uchafu wa hii sehemu ya dada yetu

Mungu ibariki tanzania
Polisi wa kituo cha Kawe kwa Kupenda Posho tu n hatari.
Wana Njaa kali sana
 
Kumbe pdidy huwa unaandika vzr hvi bila kuchapia chapia? Au huwa unajifanyisha...
Au umeibiwa kitu chako cha thamani mpaka mwandiko umenyooka..hahah pole
Huyu mwamba nilimshtukia kitambo. Akili yangu inaniambia ni msomi mzuri tu ila kuandika vile ni kuzidi kuficha identity yake. Vitu anavyochangia sometimes ni vya mtu mwenye digrii ambaye si rahisi aandike vibaya namna hiyo.
 
Huyu mwamba nilimshtukia kitambo. Akili yangu inaniambia ni msomi mzuri tu ila kuandika vile ni kuzidi kuficha identity yake. Vitu anavyochangia sometimes ni vya mtu mwenye digrii ambaye si rahisi aandike vibaya namna hiyo.
Hata mimi namchora tuu....
 
Ebu nendeni google,
angalieni namna ya kutengeneza mabomu ya petrol. Ni rahisi
Vivyo hivyo Malalamiko peke yake bila matendo,hakuna matokeo.
 
Back
Top Bottom