DOKEZO Kwako Ummy Mwalimu - Mbunge wa Jiji la Tanga na Waziri wa Afya

DOKEZO Kwako Ummy Mwalimu - Mbunge wa Jiji la Tanga na Waziri wa Afya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Madame S

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2015
Posts
17,171
Reaction score
34,394
Heri ya mwaka mpya!!

Odo Ummy wakati unatembelea hospital huko Dar bas huku tanga hospital ya mkoa, hospitali ya Bombo ni jipu.

Nieleze kisa kifupi, mwezi ulioisha tulikua na mgonjwa, ni mama mjamzito uzuri alijifungua kwa uzur kabisa shida inakuja hio bill,

Wanabambikia watu mnoo yani kilichotukuta mgonjwa wetu alipewa list ya dawa jumla kwahapo bombo ni elf 70 tukaambizana tujaribu maduka ya nje tulinganishe bei kwenye unafuu tununue ajabu maduka ya nje ni elf 6 tu kituko kingine ni mgonjwa wetu kuandikiwa dawa za presha bila kupimwa presha tuseme tu Mungu alikua upande wetu kuna nesi akampokonya kikaratas chenye hizo dawa akamwambia huna presha hio baada ya kumpima sasa la ajabu ni kubambikia watu bills na dawa kilamuda ili mradi uzidi kulala hapo wao wachaji pesa za kitanda

Tunaomba ufanye ziara hapo hospitaliñi uokoe wananchi wa jimbo lako.
 
Odo Ummy ndo nini?
Waswahili hatujawahi kuwa Seriuos.
Harafu mnataka Waziri awe Serious, kweli?
 
Heri ya mwaka mpya!!

Odo Ummy wakati unatembelea hospital huko Dar bas huku tanga hospital ya mkoa, hospitali ya Bombo ni jipu.

Nieleze kisa kifupi, mwezi ulioisha tulikua na mgonjwa, ni mama mjamzito uzuri alijifungua kwa uzur kabisa shida inakuja hio bill,

Wanabambikia watu mnoo yani kilichotukuta mgonjwa wetu alipewa list ya dawa jumla kwahapo bombo ni elf 70 tukaambizana tujaribu maduka ya nje tulinganishe bei kwenye unafuu tununue ajabu maduka ya nje ni elf 6 tu kituko kingine ni mgonjwa wetu kuandikiwa dawa za presha bila kupimwa presha tuseme tu Mungu alikua upande wetu kuna nesi akampokonya kikaratas chenye hizo dawa akamwambia huna presha hio baada ya kumpima sasa la ajabu ni kubambikia watu bills na dawa kilamuda ili mradi uzidi kulala hapo wao wachaji pesa za kitanda

Tunaomba ufanye ziara hapo hospitaliñi uokoe wananchi wa jimbo lako.
asante kwa kulisema hili! Madame S!
 
Heri ya mwaka mpya!!

Odo Ummy wakati unatembelea hospital huko Dar bas huku tanga hospital ya mkoa, hospitali ya Bombo ni jipu.

Nieleze kisa kifupi, mwezi ulioisha tulikua na mgonjwa, ni mama mjamzito uzuri alijifungua kwa uzur kabisa shida inakuja hio bill,

Wanabambikia watu mnoo yani kilichotukuta mgonjwa wetu alipewa list ya dawa jumla kwahapo bombo ni elf 70 tukaambizana tujaribu maduka ya nje tulinganishe bei kwenye unafuu tununue ajabu maduka ya nje ni elf 6 tu kituko kingine ni mgonjwa wetu kuandikiwa dawa za presha bila kupimwa presha tuseme tu Mungu alikua upande wetu kuna nesi akampokonya kikaratas chenye hizo dawa akamwambia huna presha hio baada ya kumpima sasa la ajabu ni kubambikia watu bills na dawa kilamuda ili mradi uzidi kulala hapo wao wachaji pesa za kitanda

Tunaomba ufanye ziara hapo hospitaliñi uokoe wananchi wa jimbo lako.
Ww ni Mdigo si ety😍😍
 
Odo Ummy ndo nini?
Waswahili hatujawahi kuwa Seriuos.
Harafu mnataka Waziri awe Serious, kweli?
Hizo ni slang za Tanga ..
Odo - Mama mdogo
Mkuu- Mama mkubwa
Ba mkuu- Baba mkubwa
Mke wa shangazi yako - Mkaza shangazi

🤣🤣🤣

Huu mfumo haubadiliki Tanga milele sasa ukute wadigo wanavyoita hayo majina..Mkaza juma means mke wa juma.
 
Hizo ni slang za Tanga ..
Odo - Mama mdogo
Mkuu- Mama mkubwa
Ba mkuu- Baba mkubwa
Mke wa shangazi yako - Mkaza shangazi

🤣🤣🤣

Huu mfumo haubadiliki Tanga milele sasa ukute wadigo wanavyoita hayo majina..Mkaza juma means mke wa juma.
Umesema vyema kabisa.
 
sana, napita pale kila siku kwenda Mwahako darajani.... Naona kuna na MDs kama 2 au 3. Good! Uko Tng?
eeh imekua nzuri sasa hivi, yeah but sina muda naenda dar then znz
 
Back
Top Bottom