Ndo sifa yangu mkuuka mwanamke kajuaji haka khaa [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Hamna ubaya wowoteHahahaa mkuu, mi ni mwanaume na Emmyta ni mwanmke, hakuna ajabu mimi kumpenda na kutongoza lakini nimeweka wazi toka mwazo kua hili halikua tongozo ni maneno ya kum admire tu, kuna ubaya katika hilo mkuu?
Hahahaa. Nimemuelewa sana yale maandishi yake ya mwanzo amesema "HUU SIO MTONGOZO"Mwenye macho hambiwi tazama sifa zote hizo umemwagiwa???
Nimekusoma kuwa wewe ni tatizo kumbe unataka kuamini tu unachofikiria wewe bila kujali wenzako wanasemajeHapa hatuzungumzii maandiko na story za kutunga kama hadithi, nimemfatilia huyu dada michango yake katika nyuzi tofauti zenye maudhui tofauti na kuna consistance(mfanano au muunganiko) katika tabia ya uandishi na reactions zake kwa vichocheo mbalimbali
I love you![emoji7]Ndo sifa yangu mkuu
Thank you.I love you![emoji7]
Naona limoyo la jamaa limekudondokeaKupokelewa maombi gani hayo Mkuu?
Safi sana mkuu huu ndio uanaume unajiamini sanaHahahaa mkuu, mi ni mwanaume na Emmyta ni mwanmke, hakuna ajabu mimi kumpenda na kutongoza lakini nimeweka wazi toka mwazo kua hili halikua tongozo ni maneno ya kum admire tu, kuna ubaya katika hilo mkuu?
Hahaaa. Kaelezea hisia zake anavyomkubali Emmy. Ungekuwa mtongozo angeshakuja huko PM na huwezi amini hata hajawahi fika.Naona limoyo la jamaa limekudondokea
"Kila penye uzito na wepesi upo"Duuh! Nimejikuta nasoma mara tatu tatu pasi kuamini mijisifa uliyonimwagia hapa.
Nikushukuru tu Kaka kwa kuliona hilo kutokana na maandishi na hiyo Avatar ya Emmy. Ahsante sana dua zako nimezipokea Amiin.
Ubarikiwe Mkuu. [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Hahaaaa najua hauwezi sky atakubanika maungio yako.Kesho na mimi nakuanzishia thread wallah...
Usicheze mbali...
Hongera mjukuu wangu emmyta hakika malezi yangu yameonesha manufaa... hongera sana kwangu mimi babu yenu
Sina imani, hebu nipe password yako nikathibitishe...Hahaaa. Kaelezea hisia zake anavyomkubali Emmy. Ungekuwa mtongozo angeshakuja huko PM na huwezi amini hata hajawahi fika.
Hahaaa. We dadaaa.Safi sana mkuu huu ndio uanaume unajiamini sana
Nawangojea
Usiwangojee... wewe njoo kwangu nikukague mimi mwenyeweNawangojea
HornetNdo sifa yangu mkuu
Najivunia kwa kweli kuwapata babu na bibi walio nilea vyema. Ahsante sana babu.Kesho na mimi nakuanzishia thread wallah...
Usicheze mbali...
Hongera mjukuu wangu emmyta hakika malezi yangu yameonesha manufaa... hongera sana kwangu mimi babu yenu
Mmh. Babu Umei Copy kama ilivyo. [emoji85] [emoji85]"Kila penye uzito na wepesi upo"