Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
💯🤝Kuwa Na Msimamo Kumkataa Mwanamke Asiyekufaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
💯🤝Kuwa Na Msimamo Kumkataa Mwanamke Asiyekufaa
Ntumie hio app kwa picha niitafute🤣Muombe simu yake urushe nyimbo then mwambie simu yake inaitaji kufanyiwa update
So nenda upande wa password nenda finger print ongeza kidole chako na wewe (ukitaka kuongeza finger print hapa huwa wanaomba password so unampa aandike mwenyewe ili aendelee kujua hujui password yake)
Ukishafanikiwa hapo unaenda play store unapakua app ya call recorded then una iweka on alafu una HIDE hiyo app
So kazi yako inakuwa kila siku usiku akilala unachukua simu unajirushia call zote unaanza kuzisikia kama nyimbo vile
MFATILIE MWANAMKE WAKO KADILI UWEZAVYO
USIPOMFATILIA WEWE NAN AMFATILIE ?
KWANINI ULEE WATOTO AMBAO SIO WAKO UKIJUA NI WAKO
Ndogo unattoa?Leo najisikia kucheat...
Anyone interested?
Ukitoa na mie natoaNdogo unattoa?
[emoji16]Nashukuru Mungu nina uwezo mkubwa wa kujua tabia ya mtu kwa kuzungumza nae mambo machache tu.
Kwahiyo mwanamke akileta usanii atakutana na teke la Boyka
,[emoji21]Uchi wangu afu uupangie matumizi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] thubutuuu, Nampa nimtakaye, namnyima nimtakaye.....kuachana kupo tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo ni mfano tu unaweza kuomba hata umpigie mtuUnaomba simu ujirushie nyimbo? [emoji849]
Loh mbinu hafifu hii..
Relax nakutumia kwa WhatsApp..
Shida zote hizo za nini?Hiyo ni mfano tu unaweza kuomba hata umpigie mtu
Andika tu call recorded zitakuja unachagua uitakayoNtumie hio app kwa picha niitafute[emoji1787]
Ntumie hio app kwa picha niitafute🤣
Mm toka nipigwe ndoige na katunge wangu sijawai kuwaamini wanawake tenaShida zote hizo za nini?
Mfatilie mtu kama unaona mienendo yake haieleweki na kama upo tayari kuachana nae.
Acha kudate nao. Kula usepeMm toka nipigwe ndoige na katunge wangu sijawai kuwaamini wanawake tena
Vipi mwanaume akimsaliti mwanamke?Mwanamke Akikusaliti (Akikucheat) Kwa Mwanaume Mwingine, Usikubali Kumrudisha Tena Kwako.
Ili mwanamke akusaliti kuna vitu viwili husababisha.
- Ni danga, huwezi kumtuliza. Au
- Upendo wake umeisha kwako kihisia na vitendo, sio kimaneno.
Kuhusu aina ya kwanza hiyo sikushauri uingie naye kwenye mahusiano. Utamjua kirahisi kupitia stori zake.
Kama aliwahi kumcheat mwanaume wake yoyote ujue huyo ana tabia hiyo. Haijalishi sababu ilikua nini (apa inabidi uwe na roho ngumu).
Ndo hawa unakuta hawezi kuwa na mwanaume mmoja.
Anaona haridhiki, kipesa, kihisia au kimawazo.
Mwanamke wa hivi anaweza fanya mapenzi na mwanaume hata bila kuwa na hisia naye. Anamuwekea mwanaume uchi hapo, apige akimaliza wamalizane.
Uyo wa aina ya pili ni kwamba si mvumilivu sana. Mapenzi sio mstari ulionyooka. Kuna kipindi kuna mazuri na kuna kipindi hakuna linaloenda sawa.
Wengine hawana uwezo wa kuvumilia ukiwa unapitia shida kifedha.
Wengine hawana uwezo wa kuvumilia pale hisia zake kwako zikishuka.
Sasa kitendo cha yeye kwenda kwa mwanaume mwingine hadi kufikia hatua anavuliwa chupi, ujue haoni umuhimu wa kukutunzia wewe.
Haoni umuhimu wa kutunza uchi wake kwa ajili yako kwenye icho kipindi mnachopitia. Mpaka kufikia hapo inamaana hisia zake kwako hakuna kabisa. Na ujue kwamba hisia za mwanamke hazina huruma na mtu hata kidogo.
Mwanamke hawezi penda mpenzi zaidi ya mmoja. Ukiona anapenda sehemu mbili ujue hana sifa ya kuwa mwaminifu, hasa kama ulikua umeshaingia naye kwenye mahusiano.
Akikucheat inamaana anakutumia. Kwake anasema ngoja niendelee kumuweka huyu ili jambo lango lisipofanikiwa kule nje basi niwe na sehemu ya kujipoozea (yani wewe).
Ndo maana ni muhimu kuwa na viwango vyako. Kuwa na misimamo yako. Mwanamke akikusaliti hiyo ndo imetoka, haijalishi ulimpenda kiasi gani.
Mana alikua na uwezo wa kusema muachane alafu akaenda kwa mwanaume mwingine kwa amani. Kweli, ungeumia! sababu unampenda lakini sio zaidi ya maumivu ya kusalitiwa na mwanamke unayempenda.
Na akishafanya vitu vyake huko, usimkubali tena. Mana ukishamkubali tu, hatokuheshimu tena. Sababu sasa anajua huna mipaka. Anajua anaweza kukufanyia chochote na utamsamehe. Anajua huna msimamo!
Haijalishi amelia kiasi gani, baada ya muda atasahau hayo na atakumbuka kwamba hata akikusaliti huwezi muacha.
Ni rahisi kurudia tena.
Na ukiona unamuonea huruma sana, mwambie mnaweza kuwa pamoja lakini si kama wapenzi tena. Japo sio jambo zuri mana anaweza akakuigizia mpaka ukajaa tena, ukamfanya mpenzi wako tena, alafu mzunguko ukajirudia tena.
Kuwa Na Msimamo Kumkataa Mwanamke Asiyekufaa!
Share Na Wengine Wapate Kujifunza.
Bwana wee eti mwanamke na mbususu yake akutunzie wewe tuu...hamna kitu kama hicho kwanza kumaindi mpenzio kugegedwa ni utoto tuuIyo ya kutunziana uchi ndo huwa siaminig kabisa😂😂
When was thisLeo najisikia kucheat...
Anyone interested?
Today. Halafu siku imeisha bila bilaWhen was this
Eeh kipo mzee BabaHahaha una kifua Ext?
Una bahati kweli nilikuwa busy leo🤣Leo najisikia kucheat...
Anyone interested?
HeheheeeeLeo najisikia kucheat...
Anyone interested?