Kwako wewe mwanaume uliyesalitiwa na mpenzi wako

Kwako wewe mwanaume uliyesalitiwa na mpenzi wako

Uzi mzuri ila sikubaliani na mambo ya kumfuatilia mwanamke. Utaishia kupata stress na kukosa furaha kwenye maisha yako yote. Na mwanamke anaweza kuwa tu mtulivu ila ukionyesha kumfuatilia sana inakuwa kama umeliamsha shetani lake la kuchit. Tatizo ni watu wengi kupuuzia red flags toka siku ya kwanza anaonana na mwanamke. Mimi kwa utafiti wangu wa kitaa niligundua wanawake wasiogongwa nje ni wachache mno. Wanawake zetu wanaliwa tu huko sema ndo hatujui wanaficha.
 
Muombe simu yake urushe nyimbo then mwambie simu yake inaitaji kufanyiwa update

So nenda upande wa password nenda finger print ongeza kidole chako na wewe (ukitaka kuongeza finger print hapa huwa wanaomba password so unampa aandike mwenyewe ili aendelee kujua hujui password yake)

Ukishafanikiwa hapo unaenda play store unapakua app ya call recorded then una iweka on alafu una HIDE hiyo app

So kazi yako inakuwa kila siku usiku akilala unachukua simu unajirushia call zote unaanza kuzisikia kama nyimbo vile

MFATILIE MWANAMKE WAKO KADILI UWEZAVYO

USIPOMFATILIA WEWE NAN AMFATILIE ?

KWANINI ULEE WATOTO AMBAO SIO WAKO UKIJUA NI WAKO
Hiyo kazi ya kumfuatilia mke wako kama unafuatilia visa ya USA huo muda mnautoa wp? [emoji848].....

Jitu umekutana nalo tayari Lina meno 32 watu walishatwanga, walishakoboa na kusaga Sasa imetokea tu mmekutana na kufunga nae ndoa ndio uje uanze kumfuatilia aiseee...... Acha hayo mambo mkuu fanya mambo mengine.... Kunyuru hafugiki Kama yy mwenyewe hawezi kujishkilia basi hesabu maumivu tu......
 
Back
Top Bottom