kingundya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 2,000
- 3,352
Hapa tumeonesha uzembe wa hali ya juu sana japo muda uliotoa ni mfupi sana ukizingatia Jografia ya nchi yetuToday. Halafu siku imeisha bila bila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa tumeonesha uzembe wa hali ya juu sana japo muda uliotoa ni mfupi sana ukizingatia Jografia ya nchi yetuToday. Halafu siku imeisha bila bila
He he heeeeeUna bahati kweli nilikuwa busy leo🤣
😂😂😂😂😂😂Unaomba simu ujirushie nyimbo? 🙄
Loh mbinu hafifu hii..
Relax nakutumia kwa WhatsApp..
Muda haukuwa mfupi sijui ulikuwa wapi tangu mchanaHapa tumeonesha uzembe wa hali ya juu sana japo muda uliotoa ni mfupi sana ukizingatia Jografia ya nchi yetu
Ungeriwa mwanawane 🤣He he heeeee
Njoo tuchiti babe
Hahahah kuna wadau mnawaita bushmeni.😂😂😂😂😂😂
Nimesoma nikajisemea hiii!!
Labda sijui kwa bushmen gani!!
Ungeriwa mwanawane 🤣
Mimi nipo huku mbali kabisa yaani hapa nipo grocery ndio kuna network ya internet 😔 Sema ningekuwa najua hili ningekuja mapema 😀Muda haukuwa mfupi sijui ulikuwa wapi tangu mchana
😂😂😂😂😂Hahahah kuna wadau mnawaita bushmeni.
Next time nikijisikia nitatoa tangazo. Uwe sharpUngeriwa mwanawane 🤣
Location. Muhimu piaNext time nikijisikia nitatoa tangazo. Uwe sharp
Okay. Next time 😀Mimi nipo huku mbali kabisa yaani hapa nipo grocery ndio kuna network ya internet 😔 Sema ningekuwa najua hili ningekuja mapema 😀
UsijaliLocation. Muhimu pia
Iwe mapema kidogo wacha nikuachie namba PM🤔😀Okay. Next time 😀
Hiyo kazi ya kumfuatilia mke wako kama unafuatilia visa ya USA huo muda mnautoa wp? [emoji848].....Muombe simu yake urushe nyimbo then mwambie simu yake inaitaji kufanyiwa update
So nenda upande wa password nenda finger print ongeza kidole chako na wewe (ukitaka kuongeza finger print hapa huwa wanaomba password so unampa aandike mwenyewe ili aendelee kujua hujui password yake)
Ukishafanikiwa hapo unaenda play store unapakua app ya call recorded then una iweka on alafu una HIDE hiyo app
So kazi yako inakuwa kila siku usiku akilala unachukua simu unajirushia call zote unaanza kuzisikia kama nyimbo vile
MFATILIE MWANAMKE WAKO KADILI UWEZAVYO
USIPOMFATILIA WEWE NAN AMFATILIE ?
KWANINI ULEE WATOTO AMBAO SIO WAKO UKIJUA NI WAKO
Akitoa mkwanja mwana anakula zero kwa demi? [emoji848]Ukitoa na mie natoa