Kwako wewe mwanaume uliyesalitiwa na mpenzi wako

Ntumie hio app kwa picha niitafute🤣
 
Nimeshakomaa hizi ni maelezo za vijana, mi hua naambiwa km kuna mgahawa wa karibu kula tu maana Mimi sipo huko kukupikia leo maana upo mbali

Hii comment wataelewa waliosoma Santiago de Cuba
 
Nashukuru Mungu nina uwezo mkubwa wa kujua tabia ya mtu kwa kuzungumza nae mambo machache tu.

Kwahiyo mwanamke akileta usanii atakutana na teke la Boyka
[emoji16]
 
Uchi wangu afu uupangie matumizi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] thubutuuu, Nampa nimtakaye, namnyima nimtakaye.....kuachana kupo tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
,[emoji21]
 
Vipi mwanaume akimsaliti mwanamke?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…