IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
- Thread starter
- #61
matitizo yapo llakini hawapo tayari kuya tatua.
Katika hatua za mabadiliko, Problem identification ni hatua moja, wananchi kwa pamoja hawatasema sasa tuko tayari, kupiga kelele na harakati ni njia mojawapo ya kuwaandaa wananchi na bila baadhi kujitoa kafara kwa manufaa ya wengine..No CHANGE!


