Kwakweli nilimpenda, angekuwa mvumilivu ningemuoa

Kwakweli nilimpenda, angekuwa mvumilivu ningemuoa

Kwakweli kashaniacha zaid ya mara tatu sasa na makosa akiwa yeye ndie anaenikosea , juzi katoka kugongwa sijamwambia chochote nilikaa kimya naongea nae kama hakuna kimetokea kitu sasa leo kakorofishana na mchizi aliemgonga kisa mm nilikuwa nampitia so alichofanya kunitumia hii sms nq mimi nilichofanya sikumjibu chochote zaidi ya kufuta kilakitu chake na kuendelea na maisha mengine. Kwakweli ningeeoa bomu japo inauma kuachwa 🥹View attachment 2311264
Kumbe na nyie mnaomilika tunda huwa mnaaacha
Anyway pole
 
Hii kama sio chai basi muanzisha sredi ni falla[emoji23][emoji23][emoji23]

Kila mtu anakuaga falla at a certain point in life. Basi tukutane gym my guy.


Unateseka sana kijana wangu:

Naamka nakuta kaniblock
 
Kwakweli kashaniacha zaid ya mara tatu sasa na makosa akiwa yeye ndie anaenikosea , juzi katoka kugongwa sijamwambia chochote nilikaa kimya naongea nae kama hakuna kimetokea kitu sasa leo kakorofishana na mchizi aliemgonga kisa mm nilikuwa nampitia so alichofanya kunitumia hii sms nq mimi nilichofanya sikumjibu chochote zaidi ya kufuta kilakitu chake na kuendelea na maisha mengine. Kwakweli ningeeoa bomu japo inauma kuachwa 🥹View attachment 2311264
Kazaroho achana naye yupo mwingine mzuri zaidi yake mtayewezana.
Alitoka kwako kwa kuwa hakuwa wa kwako. Fanya maombi shirikisha waliokuzidi umri, angalia option ya kuoa kijijini/kwenu. Fuata moyo wako.
 
Kwakweli kashaniacha zaid ya mara tatu sasa na makosa akiwa yeye ndie anaenikosea , juzi katoka kugongwa sijamwambia chochote nilikaa kimya naongea nae kama hakuna kimetokea kitu sasa leo kakorofishana na mchizi aliemgonga kisa mm nilikuwa nampitia so alichofanya kunitumia hii sms nq mimi nilichofanya sikumjibu chochote zaidi ya kufuta kilakitu chake na kuendelea na maisha mengine. Kwakweli ningeeoa bomu japo inauma kuachwa 🥹View attachment 2311264
Red light ilishawaka muda mrefu, ikikuonesha usitishe uhusiano naye. Ila bado ukaendelea kuwa naye, hapo kosa kubwa ni lako. Ukiona ameshakuacha mara moja maana amekuona hufai, hata akirudi kwako jua kilochomleta ni shida na si upendo wako. Shida zikiisha basi na wewe umuhimu wako umeisha. Ndiyo ulichofanyiwa wewe, akiachana na huyo atarudi tena kwako kama mwanzo tu kwasababu keshakuona bwege nazi.

Wakuu siku hizi tuishi kwa akili sana, heshima zetu zinaporomoka kisa hivi vitu
 
Naomba support yako
[emoji16] SUBSCRIBE TU[emoji16]

TRA need to reconsider its tax base and check the possibility of tapping in the untapped sex economy, a multi-billion virgin sector!

I mean, they should come up with the Incum Tax!
 
Kwakweli kashaniacha zaid ya mara tatu sasa na makosa akiwa yeye ndie anaenikosea , juzi katoka kugongwa sijamwambia chochote nilikaa kimya naongea nae kama hakuna kimetokea kitu sasa leo kakorofishana na mchizi aliemgonga kisa mm nilikuwa nampitia

So alichofanya kunitumia hii sms nq mimi nilichofanya sikumjibu chochote zaidi ya kufuta kilakitu chake na kuendelea na maisha mengine. Kwakweli ningeeoa bomu japo inauma kuachwa 🥹View attachment 2311264
Wote watoto
 
Kwakweli kashaniacha zaid ya mara tatu sasa na makosa akiwa yeye ndie anaenikosea , juzi katoka kugongwa sijamwambia chochote nilikaa kimya naongea nae kama hakuna kimetokea kitu sasa leo kakorofishana na mchizi aliemgonga kisa mm nilikuwa nampitia

So alichofanya kunitumia hii sms nq mimi nilichofanya sikumjibu chochote zaidi ya kufuta kilakitu chake na kuendelea na maisha mengine. Kwakweli ningeeoa bomu japo inauma kuachwa 🥹View attachment 2311264
Mkuu Mungu anakupenda. Kumbuka Ukimwi na Homa ya Inn vumeeenea kuliko Corona
 
Ila mkuu what if huko alilkokwenda akafanikiwa, mbona kama nature ya comments nyingi ni kama wewe ndio umekula bingo na yeye anakwenda kufeli huko.

Vipi kama wewe alikuona popoma na ndio ungemlostisha ila huko alikokuwa anagongwa mambo yanakwenda kuwa mazuri yeye amependa nae anapendwa na ATAOLEWA HUKO.

Unaposema angekuwa mvumilivu ungemuoa ni kama unatumia silaha ya kumuoa, labda kuolewa na wewe sio ishu je?

Kubali tu mkuu dada wa watu kawapimeni nyie wawili na kidume mwenzio kaibuka kidedea na wewe umeonekana boya, kubali huu ukweli na kama wanavyosema wadau hasara si ajabu, tafuta mwingine usonge mbele
All in all mshikaji amepona na Demu amepona pia.

Mambo ya Lucy na Jerome target locked🤣🤣
 
Kwakweli kashaniacha zaid ya mara tatu sasa na makosa akiwa yeye ndie anaenikosea , juzi katoka kugongwa sijamwambia chochote nilikaa kimya naongea nae kama hakuna kimetokea kitu sasa leo kakorofishana na mchizi aliemgonga kisa mm nilikuwa nampitia

So alichofanya kunitumia hii sms nq mimi nilichofanya sikumjibu chochote zaidi ya kufuta kilakitu chake na kuendelea na maisha mengine. Kwakweli ningeeoa bomu japo inauma kuachwa 🥹View attachment 2311264

Tafuta katoto ka form 4B uendelee kula maisha
 
Delta 1, this is Alpha 1 reporting......
Female terrorist in sight.
Man down I repeat man down
Liverpool VPN do you copy?
Alpha 1, this is Delta 1, we copy loud and clear.
QRF and MEDVAC enroute, 15mikes out, ETA 5minutes.
Captain Liverpool VPN is M.I.A,
I repeat, Captain Liverpool VPN is M.I.A

You have permission to take down the female terrorist, you are cleared for collateral.
 
Kwakweli kashaniacha zaid ya mara tatu sasa na makosa akiwa yeye ndie anaenikosea , juzi katoka kugongwa sijamwambia chochote nilikaa kimya naongea nae kama hakuna kimetokea kitu sasa leo kakorofishana na mchizi aliemgonga kisa mm nilikuwa nampitia

So alichofanya kunitumia hii sms nq mimi nilichofanya sikumjibu chochote zaidi ya kufuta kilakitu chake na kuendelea na maisha mengine. Kwakweli ningeeoa bomu japo inauma kuachwa 🥹View attachment 2311264
Ndugu
Hata ukija kupata mwanamke wa ndoto yako mtaishi kwa matukio kwenye ndoa yenu.

Mahusiano ambayo ni privacy unapata wapi ujasiri wa kushare sms za maugomvi yenu kwenye mtandao?

Acha kumdhalilisha mwanamke hata kama mmeachana naye
 
Back
Top Bottom