opondo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 526
- 1,321
Huku niliko hakuna wajanjaAko kasabato kako kakikutana na wajanja wanakala tu simpoo yani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku niliko hakuna wajanjaAko kasabato kako kakikutana na wajanja wanakala tu simpoo yani
Ni yule demu alokublock kipindi kileAsee noma mzee
Na wewe usinipige tukio nije nilete mrejesho hukuMuulize namba ngeni wew nani naona imekuja bila jina [emoji17][emoji17][emoji17]
😂😂Matukio ni muhimuNa wewe usinipige tukio nije nilete mrejesho huku
Vipi kule makambi ametoka salama?Dah, Mimi kiukweli nitaoa katoto ka kisabato kalikotulia kalikomaliiza form four.......
Yeah naona tabia zake ziko safi huyo ninae mtarajiwa japo nimemzidi miaka 6 na bado sijamwambia kitu nakaona ona kama katafaafaa bado naendelea kufanya upembuzi yakinifu.Vipi kule makambi ametoka salama?
Issue sio dhehebu..tabia
Wakati unafanya upembuzi wajanja watakuwahiYeah naona tabia zake ziko safi huyo ninae mtarajiwa japo nimemzidi miaka 6 na bado sijamwambia kitu nakaona ona kama katafaafaa bado naendelea kufanya upembuzi yakinifu.
Hahaha kwahiyo nifanye kweli?..naona bado katoto kamemaliza form four mwaka janaWakati unafanya upembuzi wajanja watakuwahi
Hee huyo bado ni mtoto, tabia yake halisi utaijua akikuaHahaha kwahiyo nifanye kweli?..naona bado katoto kamemaliza form four mwaka jana
Sasa hapo kwa uzoefu wako nifanye nini mkuu?...au nipambane na hawa vibaka?Hee huyo bado ni mtoto, tabia yake halisi utaijua akikua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwamba kaachwa.....jikaze kiume usijibu hata hiyo msg, tafuta katoto kazuri katoto namba Dz kawe na trakko endelea na maisha achana na hiyo fisi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah!!!Kaishakuona wewe ni POPOMA, kiazi kwake hupindui acha akupindue pindue.. Msilete uzungu uzungu kwa mijanamke haijielewi..
Treat mwanamke kwa vile anavyojileta kwako, akikuchukulia danga we mfanye malaya wako. Fanya 3 times yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata mie naona.Angevumilia ungemuoa? Uoe mpenzi wa mtu? Wewe hauoni hapo wewe ndio ulikuwa mchepuko?
Kwani ana miaka mingapi tuanzie hapo, maana watoto wa miaka 16 wanamaliza form four. Sasa mtoto kama huyo unampeleka wapi ilihali hajakuaSasa hapo kwa uzoefu wako nifanye nini mkuu?...au nipambane na hawa vibaka?
Mie nasubiria namba E🤣🤣🤣Mwamba kaachwa.....jikaze kiume usijibu hata hiyo msg, tafuta katoto kazuri katoto namba Dz kawe na trakko endelea na maisha achana na hiyo fisi.
Nijuavyo mimi msichana kabla hajawekwa ndani hanaga mchumba wala rafiki ni kiasi cha kujiongeza zaidi ya boya wake na hapo unapewa ufalme🤣🤣🤣Angevumilia ungemuoa? Uoe mpenzi wa mtu? Wewe hauoni hapo wewe ndio ulikuwa mchepuko?
Anayo 19 sasa..Mimi Niko 25 nipo tayari kuoa nikimaanisha kumuhudumia kwa kila kitu, japo naweza kusubiri mpaka miaka 27-30 pia. mzee kila siku anagusia swala la kuoa mapema ndio maana nimeamua kuangalia mtu wa future kwangu kwa upande huo wa ndoa.Kwani ana miaka mingapi tuanzie hapo, maana watoto wa miaka 16 wanamaliza form four. Sasa mtoto kama huyo unampeleka wapi ilihali hajakua
Usioe kwa pressure za watu, oa kwa sababu umepata mwenza sahihi. Hiyo wa miaka 19 bado hajakua. Ingekuwa kizazi cha zamani sawa ila wa sasa bado sanaAnayo 19 sasa..Mimi Niko 25 nipo tayari kuoa nikimaanisha kumuhudumia kwa kila kitu, japo naweza kusubiri mpaka miaka 27-30 pia. mzee kila siku anagusia swala la kuoa mapema ndio maana nimeamua kuangalia mtu wa future kwangu kwa upande huo wa ndoa.