Ila mkuu what if huko alilkokwenda akafanikiwa, mbona kama nature ya comments nyingi ni kama wewe ndio umekula bingo na yeye anakwenda kufeli huko.
Vipi kama wewe alikuona popoma na ndio ungemlostisha ila huko alikokuwa anagongwa mambo yanakwenda kuwa mazuri yeye amependa nae anapendwa na ATAOLEWA HUKO.
Unaposema angekuwa mvumilivu ungemuoa ni kama unatumia silaha ya kumuoa, labda kuolewa na wewe sio ishu je?
Kubali tu mkuu dada wa watu kawapimeni nyie wawili na kidume mwenzio kaibuka kidedea na wewe umeonekana boya, kubali huu ukweli na kama wanavyosema wadau hasara si ajabu, tafuta mwingine usonge mbele