Kwakweli nilimpenda, angekuwa mvumilivu ningemuoa

Kwakweli nilimpenda, angekuwa mvumilivu ningemuoa

Wanawake wako smart sana hasa ukute mwanamke anaejitambua
Wanawake wanajua sana kutembea na muda

Katika tafiti zangu mwanamke huwa na wanaume wawili au hata watatu anataka kuolewa na wote anawapima na atakaechukua jimbo
mambo haya huyafanya kwa usiri wa hali ya juu

Sasa anaweza akakupenda ila akiona hueleweki eleweki unalia lia tu kila cku mipango isiyotekelezeka

kinachofuata unachezea kitu kizito kichwani

nilikutana na hii situation 2018
demu alinipenda mpk alikuw ananihonga pesa zake
mm ndo nikazingua ahadi za kumuoa japo kweli nilimpenda ila alinipga kitu kizito niliumia sana mpk moyo ukafa ganzi kupenda tena,hahahaaa

Pole sana mwamba
 
Kwakweli kashaniacha zaid ya mara tatu sasa na makosa akiwa yeye ndie anaenikosea , juzi katoka kugongwa sijamwambia chochote nilikaa kimya naongea nae kama hakuna kimetokea kitu sasa leo kakorofishana na mchizi aliemgonga kisa mm nilikuwa nampitia

So alichofanya kunitumia hii sms nq mimi nilichofanya sikumjibu chochote zaidi ya kufuta kilakitu chake na kuendelea na maisha mengine. Kwakweli ningeeoa bomu japo inauma kuachwa 🥹View attachment 2311264
Kwa jinsi hii sms ilivyoandikwa huyo mwanamke hajakuacha atakurudia tena.
 
Kama haujawahi kupigwa na matukio ya mara kwa mara na vitu vizito (UVULANA) ni kweli kabisa, ila kwa waliopitia ugumu wa hapa na pale mara nyingi mioyo yao hufa ganzi kabisa na kuwa na roho ngumu kimaamuzi (UANAUME).
😅😅😅 Nyege haina roho ngumu
 
na kama watu wote wangekuwa kama wewe au mimi basi watu wasingekuwa wanauana daily,angalia mimi nimekataa kufunga ndoa ya kanisa kidogo ya sirikali naona haina mambo mengi .yaani akizingua napita hivi mambo ya kifo kitutenganishe na mtoto wa mtu sitaki!
Maisha yakupe tabu, eti bado mtoto wa mtu ambae kula yake, lala yake, ffuraha yake ni wewe, nae akupe tabu, na wala si kwamb duniani yuko pekee yake, na wala sio kwamba ndio kashikilia funguo ya peponi kwamba ukipiga chini peponi huendi, na wala sio kwwamba umechina kiasi hakuna hata mmoja duniani anakutaka. Hapo ni kupiga chini unasogea mbele, ndio utimamu wa akili na sio uzezeta wa kujidhuru au kumdhuru mtu.
 
Alpha 1, this is Delta 1, we copy loud and clear.
QRF and MEDVAC enroute, 15mikes out, ETA 5minutes.
Captain Liverpool VPN is M.I.A,
I repeat, Captain Liverpool VPN is M.I.A

You have permission to take down the female terrorist, you are cleared for collateral.
Wilco
 
Maisha yakupe tabu, eti bado mtoto wa mtu ambae kula yake, lala yake, ffuraha yake ni wewe, nae akupe tabu, na wala si kwamb duniani yuko pekee yake, na wala sio kwamba ndio kashikilia funguo ya peponi kwamba ukipiga chini peponi huendi, na wala sio kwwamba umechina kiasi hakuna hata mmoja duniani anakutaka. Hapo ni kupiga chini unasogea mbele, ndio utimamu wa akili na sio uzezeta wa kujidhuru au kumdhuru mtu.
bigup mkuu
 
Kaishakuona wewe ni POPOMA, kiazi kwake hupindui acha akupindue pindue.. Msilete uzungu uzungu kwa mijanamke haijielewi..

Treat mwanamke kwa vile anavyojileta kwako, akikuchukulia danga we mfanye malaya wako. Fanya 3 times yake.
Word.... Word babu. U said it
 
Kuna sehemu wenzetu wanafeli saana, ni mwendo wa kutembea na mwendo wa direct proportional tu
Ni mwendo wa kutokupeana favours sasa. Kila mtu ashughulike na mbanga zake. Maisha yashakuwa magumu. Muda hautoshi pesa hazitoshi.
 
Achana nae tafta pisi ingine..usijiumize kichwa !
 
Mi ishawahi nikuta hyo halafu demu mwenyewe karudi juzi tu hapa anaanza kulalamika sijibu text zake kwa wakati na simu sipokei nikasema kweli wanawake mwalimu wao kipofu.
 
Delta is landing...
Ready for assist...
Shoot anything moves...and wait for Calvary

Do you copy....

Delta out.... I repeat Delta out
Hold yo position Alpha 1,
I repeat hold yo position friendly fire....
Special opps secret agent Liverpool VPN with a missile in position
hold yo fire I need the suspect alive
stay down I need her alive
unyama sana
Over
 
Back
Top Bottom