Kwamba CASK BAR haikulipia leseni kwa miaka miwili ni uongo. Ushahidi huu hapa

Kwamba CASK BAR haikulipia leseni kwa miaka miwili ni uongo. Ushahidi huu hapa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ni kweli kwamba leseni ya biashara ya Bar hii iliisha muda wake kama mwezi na ushee hivi uliopita , lakini si kama Halmashauri ya Ilemela inavyotaka kutudanganya

Screenshot_2023-08-17-17-30-37-1.jpg


Ni wazi kabisa sasa kwamba Bar hii ilifungiwa baada ya mteja mmoja kupeperusha hewani tangazo la kuokoa Bandari zetu , jambo ambalo Watawala wa Tanzania hawataki kulisikia .

Watanganyika siyo wajinga sana .
 
Ni kweli kwamba leseni ya biashara ya Bar hii iliisha muda wake kama mwezi na ushee hivi uliopita , lakini si kama Halmashauri ya Ilemela inavyotaka kutudangany...
Mkurugenzi nadhani atatumbuliwa pamoja na mkuu wa mkoa Makalla. Wameonesha very low thinking ambapo ni kinyume kabisa na matarajio ya rais wetu Dkt Samia.

Sijui kwa nini hawamuelewi. Wanamhujumu Mama, watenguliwe haraka. Serikali inahitaji mapato ya services levy etc leo hii unaamka tu kufungia mtu sehemu ambayo anachangia wengine kupata maisha.
 
Mkurugenzi nadhani atatumbuliwa pamoja na mkuu wa mkoa Makalla. Wameonesha very low thinking ambapo ni kinyume kabisa na matarajio ya rais wetu Dkt Samia. Sijui kwa nini hawamuelewi. Wanamhujumu Mama, watenguliwe haraka. Serikali inahitaji mapato ya services levy etc leo hii unaamka tu kufungia mtu sehemu ambayo anachangia wengine kupata maisha.
Yeye ndiyo kawatuma kufanya huu upuuzi halafu awatumbue?
 
Ni kweli kwamba leseni ya biashara ya Bar hii iliisha muda wake kama mwezi na ushee hivi uliopita , lakini si kama Halmashauri ya Ilemela inavyotaka kutudanganya

View attachment 2720130

Ni wazi kabisa sasa kwamba Bar hii ilifungiwa baada ya mteja mmoja kupeperusha hewani tangazo la kuokoa Bandari zetu , jambo ambalo Watawala wa Tanzania hawataki kulisikia .

Watanganyika siyo wajinga sana .
Aibu sana kwa serikali ya CCM. CCM ni adui wa haki
 
Ni kweli kwamba leseni ya biashara ya Bar hii iliisha muda wake kama mwezi na ushee hivi uliopita , lakini si kama Halmashauri ya Ilemela inavyotaka kutudanganya

View attachment 2720130

Ni wazi kabisa sasa kwamba Bar hii ilifungiwa baada ya mteja mmoja kupeperusha hewani tangazo la kuokoa Bandari zetu , jambo ambalo Watawala wa Tanzania hawataki kulisikia .

Watanganyika siyo wajinga sana .
 

Attachments

  • 71C8C369-AD5D-4675-AE26-29D2215FDF84.jpeg
    71C8C369-AD5D-4675-AE26-29D2215FDF84.jpeg
    35.5 KB · Views: 2
Hapana kabisa hiyo ni nidhamu ya uoga na kinafiki ya Makalla na Kibamba. Huwezi fanya kitu cha ajabu namna ile cha kumchonganisha rais na wapiga kura wake. Ni sawa na issue ya IGP tu
Nimekupa 'Like' halafu ole wako urudi ku edit na kuweka pumba zako za kila siku, halafu watu waone nime Like utumbo.
 
Kumbe kuna wakati una akili? hongera
Sisi Chawa tunampenda Mama yetu Dkt Samia na kazi yetu ni kumfikishia nyeti zote za umbea ambazo mfumo hauwezi kumfikishia ndiyo maana siku hizi kastuka mno maana kuna kundi lilikuwa limeshaanza kumpotosha ili aharibikiwe mfano hilo kundi lilimhadaa eti rais Dkt Magufuli alikuwa mbaya na anachukiwa na watanzania ila alivyostuka ndiyo maana siku hizi humsikii vijembe mpaka aliamua kutoa zawadi kwa Dkt Magufuli, kundi lingine lilihakikisha Dkt Samia hatulii safari kila kukicha ili wapange mambo yao nao kawastukia ndiyo maana siku hizi safari za nje zimepungua ili ajionee mwenendo wa nchi na wananchi na siyo kusimuliwa.
 
Sisi Chawa tunampenda Mama yetu Dkt Samia na kazi yetu ni kumfikishia nyeti zote za umbea ambazo mfumo hauwezi kumfikishia ndiyo maana siku hizi kastuka mno maana kuna kundi lilikuwa limeshaanza kumpotosha ili aharibikiwe mfano hilo kundi lilimhadaa eti rais Dkt Magufuli alikuwa mbaya na anachukiwa na watanzania ila alivyostuka ndiyo maana siku hizi humsikii vijembe mpaka aliamua kutoa zawadi kwa Dkt Magufuli, kundi lingine lilihakikisha Dkt Samia hatulii safari kila kukicha ili wapange mambo yao nao kawastukia ndiyo maana siku hizi safari za nje zimepungua ili ajionee mwenendo wa nchi na wananchi na siyo kusimuliwa.
Tafuteni pesa acheni kujiita chawa sababu ya njaa
 
Back
Top Bottom