Kwamba Raisi anamuagiza Ridhiwani ahakikishe vijana wanapata ajira?How? kwa sera zipi? Ridhiwani anakusanya kodi?

Kwamba Raisi anamuagiza Ridhiwani ahakikishe vijana wanapata ajira?How? kwa sera zipi? Ridhiwani anakusanya kodi?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Ridhiwani ana uwezo gani wa kuhakikisha vijana wanapata ajira? Yeye ndio mtunga sera za nchi? ndio mpanga mipango ya hii nchi?
Screenshot_20240726_200441_com.twitter.android.jpg


1. Ajira za Vijana ziko kwenye yale ma V8 ya anasa.

2. Ajira za vijana zipo kwenye zile ajira Raisi anafanya recyceling kana kwamba kuna watu walizaliwa wao tu kupewa vyeo.

3. Ajira za vijana ziko kwenye zile ajira za upendeleo zinazo tuolewa kwa kujuana.

4. Ajira za vijana ziko kwenye sera mbaya za kipuuzi ambako wawekezaji wanakuja hadi na walinzi wao kutoka nje, wanakuja na Gadener wao.

5. Ajira za vijana ziko kwenye zile pesa zinazopigwa kila ikisomwa report ya CAG.

6. Ajira za vijana ziko kwenye Matumizi ya anasa ya serikali hii, safari zisizo kuwa na tija na zenye msafara mikubwa ya isio kuwa na tija.

7. Ajira za vijana ziko kwenye wale watu ambao wameisha toka kimaisha wanao gharamaikiwa na Serikali kwenda Korea kusini na kwingineko kuonyesha ujinga ujinga tu.

8. Ajira za vijana ziko kwenye Sera mbovu ya kukumbatia uchumi wa uchuuzi, uchumi wa Frame za maduka, badala ya uchumi wa uzalishaji mali, Uchumi wa kuchuuza mali za wachina hauwezi toa ajira kwa vinana, Uchumi wa uzalishaji mali ndio unaweza toa ajira.

Raisi aache hadaa kudanganya wadanganyika kwamba Ridhiwani anaweza fanya juu chini vijana wakapata ajira, labda ajira za Uchawa.

Sera za hii nchi ndio chanjo cha tatizo la ajira na ngojeeni hadi tatizo la ajira lije kufikie levo za kuwa halidhibitiki haoo mtajua hamjui.
 
Mkuu namba nne busara kuitoa

Ukitaka mambo yako yaharibike ajiri mbongo toka juu hadi chini

Kitendo tu local content kwa sasa kwenye makampuni imekuwa ni mfukuzano mwanzo mwisho

Wabongo kwenye uadilifu ni mtihani sijui kwa nn
 
Mimi natamani kujua wale wawekezaji kila mwaka tunatajiwa wameingia Nchini sijui Elf ngapi, kama wanafanikiwa kufanya kilichowaleta au wana andikishwa na kutimka? na kama hawafanikiwi wanakwama wapi? Ningekuwa Waziri ningeanzia hapo wanapokwama.....
Wanavyotajwa wengi, kila mwekezaji angeleta tu ajira rasmi 50 mbona zingesaidia sana ila sijui wanapoishia....
 
Mkuu namba nne busara kuitoa

Ukitaka mambo yako yaharibike ajiri mbongo toka juu hadi chini

Kitendo tu local content kwa sasa kwenye makampuni imekuwa ni mfukuzano mwanzo mwisho

Wabongo kwenye uadilifu ni mtihani sijui kwa nn
Kwa hio tuajiri Wakenya au? Wizi uko kote huko, unazania Wachina sio wezi? au Wahindi? hujafanya nao kazi labda.
 
Ridhiwani ana uwezo gani wa kuhakikisha vijana wanapata ajira? Yeye ndio mtunga sera za nchi? ndio mpanga mipango ya hii nchi?
View attachment 3053297

1. Ajira za Vijana ziko kwenye yale ma V8 ya anasa.

2. Ajira za vijana zipo kwenye zile ajira Raisi anafanya recyceling kana kwamba kuna watu walizaliwa wao tu kupewa vyeo.

3. Ajira za vijana ziko kwenye zile ajira za upendeleo zinazo tuolewa kwa kujuana.

4. Ajira za vijana ziko kwenye sera mbaya za kipuuzi ambako wawekezaji wanakuja hadi na walinzi wao kutoka nje, wanakuja na Gadener wao.

5. Ajira za vijana ziko kwenye zile pesa zinazopigwa kila ikisomwa report ya CAG.

6. Ajira za vijana ziko kwenye Matumizi ya anasa ya serikali hii, safari zisizo kuwa na tija na zenye msafara mikubwa ya isio kuwa na tija.

7. Ajira za vijana ziko kwenye wale watu ambao wameisha toka kimaisha wanao gharamaikiwa na Serikali kwenda Korea kusini na kwingineko kuonyesha ujinga ujinga tu.

8. Ajira za vijana ziko kwenye Sera mbovu ya kukumbatia uchumi wa uchuuzi, uchumi wa Frame za maduka, badala ya uchumi wa uzalishaji mali, Uchumi wa kuchuuza mali za wachina hauwezi toa ajira kwa vinana, Uchumi wa uzalishaji mali ndio unaweza toa ajira.

Raisi aache hadaa kudanganya wadanganyika kwamba Ridhiwani anaweza fanya juu chini vijana wakapata ajira, labda ajira za Uchawa.

Sera za hii nchi ndio chanjo cha tatizo la ajira na ngojeeni hadi tatizo la ajira lije kufikie levo za kuwa halidhibitiki haoo mtajua hamjui.
Anamaana zile ajira za upande wa pili.
 
Gen Z ni tishio kwa nchi za africa kwasasa.
Wamemaliza vyuo na shule na kazi hamna.so wanashinda kwenye magenge na huwezi jua wanashughuli gani kule.na mtu mwenye njaa anaweza fanya chochote
 
Mama anauupiga mwingi sasa hivi kuna vijana karibia 20,000 watalamba asali ya ualimu, afya na polisi
 
Ulimsikiliza Mama wakati anatoa hayo maagizo? Hukumsikiliza , nenda kasikilize maagizo aliyopewa ili upunguze upumbavu na kuongeza uerevu.
 
Mkuu namba nne busara kuitoa

Ukitaka mambo yako yaharibike ajiri mbongo toka juu hadi chini

Kitendo tu local content kwa sasa kwenye makampuni imekuwa ni mfukuzano mwanzo mwisho

Wabongo kwenye uadilifu ni mtihani sijui kwa nn
Hapa uko sahih kabisa.

Wabongo ni changamoto “Top to the bottom”

Hatari kabisa hakuna sehemu kuna unafuu bongo ukweli huu tusiufumbie macho.

Something needs done. No doubt!
 
Mteuaji anatoa maagizo ya kutatua tatizo asllolijua na asiloliweza ili aonekane ana uchungu na Nia ya kulishughulikia. Hatuna rais hapo.

Ridhiwani peke yake atapata wapi ajira za kuwapatia vijana? Suala la ajira linatatuliwa kwa kubadili sera na mfumo mzima wa kiasiasa na kiuchumi. Siyo matamko ya mtu mmoja. Kaongea ujinga huyu bibi
 
Back
Top Bottom