Kwamba Raisi anamuagiza Ridhiwani ahakikishe vijana wanapata ajira?How? kwa sera zipi? Ridhiwani anakusanya kodi?

Kwamba Raisi anamuagiza Ridhiwani ahakikishe vijana wanapata ajira?How? kwa sera zipi? Ridhiwani anakusanya kodi?

Ridhiwani ana uwezo gani wa kuhakikisha vijana wanapata ajira? Yeye ndio mtunga sera za nchi? ndio mpanga mipango ya hii nchi?
View attachment 3053297

1. Ajira za Vijana ziko kwenye yale ma V8 ya anasa.

2. Ajira za vijana zipo kwenye zile ajira Raisi anafanya recyceling kana kwamba kuna watu walizaliwa wao tu kupewa vyeo.

3. Ajira za vijana ziko kwenye zile ajira za upendeleo zinazo tuolewa kwa kujuana.

4. Ajira za vijana ziko kwenye sera mbaya za kipuuzi ambako wawekezaji wanakuja hadi na walinzi wao kutoka nje, wanakuja na Gadener wao.

5. Ajira za vijana ziko kwenye zile pesa zinazopigwa kila ikisomwa report ya CAG.

6. Ajira za vijana ziko kwenye Matumizi ya anasa ya serikali hii, safari zisizo kuwa na tija na zenye msafara mikubwa ya isio kuwa na tija.

7. Ajira za vijana ziko kwenye wale watu ambao wameisha toka kimaisha wanao gharamaikiwa na Serikali kwenda Korea kusini na kwingineko kuonyesha ujinga ujinga tu.

8. Ajira za vijana ziko kwenye Sera mbovu ya kukumbatia uchumi wa uchuuzi, uchumi wa Frame za maduka, badala ya uchumi wa uzalishaji mali, Uchumi wa kuchuuza mali za wachina hauwezi toa ajira kwa vinana, Uchumi wa uzalishaji mali ndio unaweza toa ajira.

Raisi aache hadaa kudanganya wadanganyika kwamba Ridhiwani anaweza fanya juu chini vijana wakapata ajira, labda ajira za Uchawa.

Sera za hii nchi ndio chanjo cha tatizo la ajira na ngojeeni hadi tatizo la ajira lije kufikie levo za kuwa halidhibitiki haoo mtajua hamjui.
Haaa mbona yupo sahihi tu ajira za kuuza ngada zitakuwa nyingi sana .
 
Ridhiwani ana uwezo gani wa kuhakikisha vijana wanapata ajira? Yeye ndio mtunga sera za nchi? ndio mpanga mipango ya hii nchi?
View attachment 3053297

1. Ajira za Vijana ziko kwenye yale ma V8 ya anasa.

2. Ajira za vijana zipo kwenye zile ajira Raisi anafanya recyceling kana kwamba kuna watu walizaliwa wao tu kupewa vyeo.

3. Ajira za vijana ziko kwenye zile ajira za upendeleo zinazo tuolewa kwa kujuana.

4. Ajira za vijana ziko kwenye sera mbaya za kipuuzi ambako wawekezaji wanakuja hadi na walinzi wao kutoka nje, wanakuja na Gadener wao.

5. Ajira za vijana ziko kwenye zile pesa zinazopigwa kila ikisomwa report ya CAG.

6. Ajira za vijana ziko kwenye Matumizi ya anasa ya serikali hii, safari zisizo kuwa na tija na zenye msafara mikubwa ya isio kuwa na tija.

7. Ajira za vijana ziko kwenye wale watu ambao wameisha toka kimaisha wanao gharamaikiwa na Serikali kwenda Korea kusini na kwingineko kuonyesha ujinga ujinga tu.

8. Ajira za vijana ziko kwenye Sera mbovu ya kukumbatia uchumi wa uchuuzi, uchumi wa Frame za maduka, badala ya uchumi wa uzalishaji mali, Uchumi wa kuchuuza mali za wachina hauwezi toa ajira kwa vinana, Uchumi wa uzalishaji mali ndio unaweza toa ajira.

Raisi aache hadaa kudanganya wadanganyika kwamba Ridhiwani anaweza fanya juu chini vijana wakapata ajira, labda ajira za Uchawa.

Sera za hii nchi ndio chanjo cha tatizo la ajira na ngojeeni hadi tatizo la ajira lije kufikie levo za kuwa halidhibitiki haoo mtajua hamjui.
Na riziwani na yeye amemkubalia hili mm nikapinga hapohapo..
 
Ridhiwani ana uwezo gani wa kuhakikisha vijana wanapata ajira? Yeye ndio mtunga sera za nchi? ndio mpanga mipango ya hii nchi?
View attachment 3053297

1. Ajira za Vijana ziko kwenye yale ma V8 ya anasa.

2. Ajira za vijana zipo kwenye zile ajira Raisi anafanya recyceling kana kwamba kuna watu walizaliwa wao tu kupewa vyeo.

3. Ajira za vijana ziko kwenye zile ajira za upendeleo zinazo tuolewa kwa kujuana.

4. Ajira za vijana ziko kwenye sera mbaya za kipuuzi ambako wawekezaji wanakuja hadi na walinzi wao kutoka nje, wanakuja na Gadener wao.

5. Ajira za vijana ziko kwenye zile pesa zinazopigwa kila ikisomwa report ya CAG.

6. Ajira za vijana ziko kwenye Matumizi ya anasa ya serikali hii, safari zisizo kuwa na tija na zenye msafara mikubwa ya isio kuwa na tija.

7. Ajira za vijana ziko kwenye wale watu ambao wameisha toka kimaisha wanao gharamaikiwa na Serikali kwenda Korea kusini na kwingineko kuonyesha ujinga ujinga tu.

8. Ajira za vijana ziko kwenye Sera mbovu ya kukumbatia uchumi wa uchuuzi, uchumi wa Frame za maduka, badala ya uchumi wa uzalishaji mali, Uchumi wa kuchuuza mali za wachina hauwezi toa ajira kwa vinana, Uchumi wa uzalishaji mali ndio unaweza toa ajira.

Raisi aache hadaa kudanganya wadanganyika kwamba Ridhiwani anaweza fanya juu chini vijana wakapata ajira, labda ajira za Uchawa.

Sera za hii nchi ndio chanjo cha tatizo la ajira na ngojeeni hadi tatizo la ajira lije kufikie levo za kuwa halidhibitiki haoo mtajua hamjui.
Namba 8 imewasilisha yote.
Lazima kujenga fikra za kuzalisha bidhaa na huduma kutokana na malighafi za asili badala ya kutegemea nje.
Kinachofanyika siasa hivi ni kujenga uchumi na ajira kwa wachina na mataifa mengine ya ng'ambo.
 
Ulimsikiliza Mama wakati anatoa hayo maagizo? Hukumsikiliza , nenda kasikilize maagizo aliyopewa ili upunguze upumbavu na kuongeza uerevu.
Chawa huu sio muda wakupigiana porojo za kisiasa.
 
Ridhiwani ana uwezo gani wa kuhakikisha vijana wanapata ajira? Yeye ndio mtunga sera za nchi? ndio mpanga mipango ya hii nchi?
View attachment 3053297

1. Ajira za Vijana ziko kwenye yale ma V8 ya anasa.

2. Ajira za vijana zipo kwenye zile ajira Raisi anafanya recyceling kana kwamba kuna watu walizaliwa wao tu kupewa vyeo.

3. Ajira za vijana ziko kwenye zile ajira za upendeleo zinazo tuolewa kwa kujuana.

4. Ajira za vijana ziko kwenye sera mbaya za kipuuzi ambako wawekezaji wanakuja hadi na walinzi wao kutoka nje, wanakuja na Gadener wao.

5. Ajira za vijana ziko kwenye zile pesa zinazopigwa kila ikisomwa report ya CAG.

6. Ajira za vijana ziko kwenye Matumizi ya anasa ya serikali hii, safari zisizo kuwa na tija na zenye msafara mikubwa ya isio kuwa na tija.

7. Ajira za vijana ziko kwenye wale watu ambao wameisha toka kimaisha wanao gharamaikiwa na Serikali kwenda Korea kusini na kwingineko kuonyesha ujinga ujinga tu.

8. Ajira za vijana ziko kwenye Sera mbovu ya kukumbatia uchumi wa uchuuzi, uchumi wa Frame za maduka, badala ya uchumi wa uzalishaji mali, Uchumi wa kuchuuza mali za wachina hauwezi toa ajira kwa vinana, Uchumi wa uzalishaji mali ndio unaweza toa ajira.

Raisi aache hadaa kudanganya wadanganyika kwamba Ridhiwani anaweza fanya juu chini vijana wakapata ajira, labda ajira za Uchawa.

Sera za hii nchi ndio chanjo cha tatizo la ajira na ngojeeni hadi tatizo la ajira lije kufikie levo za kuwa halidhibitiki haoo mtajua hamjui.
Umenyoosha mzee🙌
 
Ridhiwani ana uwezo gani wa kuhakikisha vijana wanapata ajira? Yeye ndio mtunga sera za nchi? ndio mpanga mipango ya hii nchi?
View attachment 3053297

1. Ajira za Vijana ziko kwenye yale ma V8 ya anasa.

2. Ajira za vijana zipo kwenye zile ajira Raisi anafanya recyceling kana kwamba kuna watu walizaliwa wao tu kupewa vyeo.

3. Ajira za vijana ziko kwenye zile ajira za upendeleo zinazo tuolewa kwa kujuana.

4. Ajira za vijana ziko kwenye sera mbaya za kipuuzi ambako wawekezaji wanakuja hadi na walinzi wao kutoka nje, wanakuja na Gadener wao.

5. Ajira za vijana ziko kwenye zile pesa zinazopigwa kila ikisomwa report ya CAG.

6. Ajira za vijana ziko kwenye Matumizi ya anasa ya serikali hii, safari zisizo kuwa na tija na zenye msafara mikubwa ya isio kuwa na tija.

7. Ajira za vijana ziko kwenye wale watu ambao wameisha toka kimaisha wanao gharamaikiwa na Serikali kwenda Korea kusini na kwingineko kuonyesha ujinga ujinga tu.

8. Ajira za vijana ziko kwenye Sera mbovu ya kukumbatia uchumi wa uchuuzi, uchumi wa Frame za maduka, badala ya uchumi wa uzalishaji mali, Uchumi wa kuchuuza mali za wachina hauwezi toa ajira kwa vinana, Uchumi wa uzalishaji mali ndio unaweza toa ajira.

Raisi aache hadaa kudanganya wadanganyika kwamba Ridhiwani anaweza fanya juu chini vijana wakapata ajira, labda ajira za Uchawa.

Sera za hii nchi ndio chanjo cha tatizo la ajira na ngojeeni hadi tatizo la ajira lije kufikie levo za kuwa halidhibitiki haoo mtajua hamjui.
Kasome ilani ya uchaguzi ya CCM utaelewa sera zipi.
 
Back
Top Bottom