Kwamba zoezi la kuitafuta ndege iliyopotea pori la akiba Selous limesitishwa

Mtaalamu mbobezi wa aviation brazaj atasema this kind of shit only happens in Tanzania, na rubani kaangamia sababu ya ujinga wake kama Waafrika ote walivyo.
 
Lissu alikuwa anaambiwa hali hewa siyo nzuri.Anga limechafuka kupiga kampeni.
Huyu hawakuona haja kumjulisha anga limechafuka?
 
Kwani wenyewe wakina faru John wanaswmaje?
 
Rwanda wana satelite angani, kama tuko nao vizuri sasa tusione aibu kuomba huduma yao ili kitendawili cha kupotea ndege hiyo kitenguliwe. [emoji848]
Wewe tangu nimesoma uzi na nikakutana na hii reply ndio nikajua kabisa hujui kitu kuhusu usafiri wa anga. Yaani unataka satellite itafute ndege?
 
Nimekuja mbio nikidhani Malaysia airlines kumbe ni single engine propeller zile za kumagilizia pembejeo kwenye mashamba makubwa ya ngano! Waende tu karatu wataikuta.

barafu
Hawa jamaa hawajui kuwa zinapotea Boeing za watu 200+ na dunia inatafuta mpaka inaacha sembuse kandege kamoja ka propeller.
Ndege haitafutwi kama uyoga. Wanaangalia trajectory yake na mara ya mwisho ilionekana wapi kisha ndio wanakadiria itakuwa imepotelea eneo gani. Wakiikosa kwenye hilo eneo wanaongeza upana wa search area, wakikosa wanaachana na utafutaji ambao ni gharama kubwa
 
Wewe tangu nimesoma uzi na nikakutana na hii reply ndio nikajua kabisa hujui kitu kuhusu usafiri wa anga. Yaani unataka satellite itafute ndege?
Soma jomba!, Soma sana uelimike!! ... Elimu huwa haina mwisho. Ndege zenye rangi ya bluu, zote ziko tracked kupitia satellite.

 
Soma jomba!, Soma sana uelimike!! ... Elimu huwa haina mwisho. Ndege zenye rangi ya bluu, zote ziko tracked kupitia satellite.

View attachment 2017955
Satellite haitumiwi kwenye kutrack ndege iliyopotea kijana. Satellite hata hiyo simu yako inaweza track ila usitake kusema wiki hii F-35B iliyodondoka Mediterranean sea hao Royal Navy na US Navy hawana satellite mpaka wakatumia submarines kuitafuta. Usitake kusema wazungu ni wapumbavu walipotumia meli, helicopters na subs kutafuta ndege ya Malaysian Airlines iliyododoka baharini ikapotea na watu hadi leo. Kwani hawakuwa na maelfu ya satellites uko angani mpaka watumie gharama nyingi kuitafuta?

Kwa hiyo wewe unaona flight radar inatafuta ndege zilizopotea. Hiyo inasoma transponders, ndege zenyewe zikiwa hewani zinalazimisha kujionesha na ndipo flight radar inazisoma. Zikipotea hapo ni kazi ya black box kutoa signal mpaka pale battery itakapoisha charge. Na hii black box haitafutwi kwa satellites, na huyo Rwanda mnayemkuza hana hata satellite ya kuchorea ramani, achana na kutafuta ndege.

Black box ikiisha charge chance za kutafuta ndege na kuiona zinapungua mno. Ndege umeitafuta black box ikiwa on hujaipata, sembuse ikiwa imezima
 
Naona umekariri simulizi za matukio hadi nukta. Rudi kwenye hoja yangu inayohusu ndege ndogo iliyopotea yapata mwezi sasa na haijaonekana!. Nini kifanyike ?.
 
Naona umekariri simulizi za matukio hadi nukta. Rudi kwenye hoja yangu inayohusu ndege ndogo iliyopotea yapata mwezi sasa na haijaonekana!. Nini kifanyike ?.
Mimi nimereply comment yako ya kwamba Rwanda wana satellite watusaidie kuitafuta ndege. Ndio nikajua kwenye habari za anga umeanza kuzijulia TBC Magufuli aliponunua zile Bombardier. Unaniita nimekariri, hata ingekuwa hivyo sio vibaya mradi niwe sahihi. Kwa hiyo unaamini satellite ya Rwanda inatafuta ndege?
 
Sijui hamuelewi kuna rubani ni mtanzania mwezetu inabidi tujue yupo wapi na anaendeleaje.?ndio maana ni muhimu kupatikana.
 
Sioni mantiki ya TBC na Magufuli kuingizwa kwenye mjadala huu kwani sio lengo la hoja. Hebu pitia hii habari, inawezekana hukuwahi kuisikia.https://Africanews.space/Rwandas-first-satellite-in-space-set-for-release-from-ISS/
 
Sijui hamuelewi kuna rubani ni mtanzania mwezetu inabidi tujue yupo wapi na anaendeleaje.?ndio maana ni muhimu kupatikana.
Hili ni suala nyeti hasa ukizingatia ugaidi unaoendelea kaskazini mwa Msumbiji kwa sasa.
 
Hili ni suala nyeti hasa ukizingatia ugaidi unaoendelea kaskazini mwa Msumbiji kwa sasa.
au huyu rubani kasepa na ndege yetu sauzi au kongo.kama ingeanguka mabaki yangeonekana!!,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…