Kwamsisi

Kwamsisi

Duh, kuna kijiji mpaka treni lilikuwa linapita, wakati mwingine bahari inaonekana na meli kubwa kinoma, maeneo ya Mwanza, ukiwa umechelewa usiku ukapita hicho kijiji hutosahau, yaani mbele unakutana na reli na train inakuja mafuta balaa wakati wa mchana ni vichaka na majaruba ya mpunga tu, na kijito kimepita hayo maeneo, pia wakati mwingine mpaka maghorofa yalikuwa yanaonekana, now watu wanapitaga tu hawaoni chochote, lakini mwanzoni mwa miaka hii ya 2000 ilikuwa balaa.

Duh hii kweli nyoko.
 
Mtaalam wa ukweli kwamsisi au vijiji vya Jirani ni nani? Wengi wanasema kwamsisi kumechuja. Nina imani bado atakuwepo mtaalam ambaye hajachuja. Tukubali ushirikina na kurogwa kupo. Tusaidiane hapa wakuuu.
 
Mtaalam wa ukweli kwamsisi au vijiji vya Jirani ni nani? Wengi wanasema kwamsisi kumechuja. Nina imani bado atakuwepo mtaalam ambaye hajachuja. Tukubali ushirikina na kurogwa kupo. Tusaidiane hapa wakuuu.
Kwasunga pasikie tu....kwamsisi panasubili..
 
Huko kuna madogo wanajua uchawi kama mtu anavyosifika kwenye mpira akiwa anachipukia....mmmh...
Hahaa unajua unapobatizwa na kumkubali Yesu katika maisha yako either uwe mdogo au mkubwa, unavalishwa vazi jeupe na unaahidi unamkataa shetani na mambo yake yote. Kama hutashiriki katika uchawi, hata ulogwe unadunda, lakini ukianza kusema sijui "jilinde na mimi nitakulinda". Hapa unatia madoa katika vazi na ni rahisi wachawi kukupata.
 
Ninakumbuka tulikwenda home na sister, alikuwa na mtoto mdogo, ikifika saa nane mtoto analia mpaka saa tisa. Kumbe pale ndiyo ulikuwa mkutano wao, ni raha unavyoanza kuwagalagaza na mistari ya Isaiah na Samuel, kesho wakikuona wanaona aibu hata kukuangalia usoni.
 
Nakumbuka tulikuwa tunakunywa ndani ya kibanda barabarani kuna mtu alikuwa anapita alipiga mweleka wa kufa mtu halafu kwa pembeni mtoto mmoja akawa anamwambia mwenzie si nilikuambia hii kiboko aliyonipa bibi, sikuwaelewa muuza chai akasema tuwe na adabu hata kwa kitoto kidogo akiwa na maana huyo mtoto alipewa kitu kipya na bibi yake sasa alikifanyia majaribio kwa kumwangusha yule mpita njia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiku wangu umekuwa mzuri sana,asante mkuu.
 
Hahaa unajua unapobatizwa na kumkubali Yesu katika maisha yako either uwe mdogo au mkubwa, unavalishwa vazi jeupe na unaahidi unamkataa shetani na mambo yake yote. Kama hutashiriki katika uchawi, hata ulogwe unadunda, lakini ukianza kusema sijui "jilinde na mimi nitakulinda". Hapa unatia madoa katika vazi na ni rahisi wachawi kukupata.
Hizi hadithi zimewateka wengi kweli kweli
 
Back
Top Bottom