Kwamsisi

Kwamsisi

mshana jr, post: 17211731, member: 98741"]Kasoro mimi[emoji81] [emoji81] [emoji81][/QUOTE]
Hahaha!
 
mshana jr, post: 17211731, member: 98741"]Kasoro mimi[emoji81] [emoji81] [emoji81]
Hahaha![/QUOTE]
[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji82] [emoji82] [emoji82] [emoji82] [emoji82] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji83] [emoji83] [emoji83] [emoji83] [emoji83]
mshana jr, post: 17211731, member: 98741"]Kasoro mimi[emoji81] [emoji81] [emoji81]
Hahaha![/QUOTE]
 
Mmmmmmmmh jamani hivi ni ya kweli hayo???? Maana hata huko Bagamoyo huwa tunapata stori kuwa ni hatari na hasa mlingotini....Aidha vipi ya huko Sumbawanga?????


Hiyo ni kweli mkuu, ila mlingotini imekwisha sasa hivi imebaki jina ila kama kumbukumbu zangu ziko sawa nyumba ya bati ya kwanza nadhani iliwekwa mwaka 2002, wale wazee waliokuwa ndiyo wataalamu wamekufa na utaalamu wao baada ya vijana wa sasa kutokuamini uchawi
 
asili yao ni handeni hao waarabu.
Kuna jamaa alikuwa anauza haice Tanga handeni, sa kuna mshkaji akawa ameiyona ile gari nae kamshtua kaka yake kuwa kuna gari ya biashara inauzwa jamaa katoka dar hadi Tanga kwenda kuiyona alivyofika kaikubali sana na jamaa kampe hela cash wakawa wamemalizana usiku ule ule jamaa kasafirisha gari hadi dar! Gari wakailaza ili kesho yake asubuh na mapema waende wakaibadilishe jina TRA walivyo fika kwenye gari ili safari ianze walikuta gari ni mbovu mbovu balaa jamaa hawakuamini macho yao
 
Ndio pona yao
Kuna mahali umetaja msata kuwa ndo control tower..niliwah fika hapo nikiwa na jamaa zangu wawili niliowapa lift baada ya kufika mahali wakaniambia nisimame..wakashuka na kwenda kama kichakan mmoja akasubil mwingine ndo akaingia zaid kichakan na kukata ki mti flan akaja nacho..then akampa mwenzake na kumwambia bas sema kupitia mti huu vile unataka mambo yawe..jama akasemaaa..nadhan kuna mambo alifanyiwa sasa alikuwa anajibu mapigo...
Alipomaliza wote wakarudi kwwnye gari..mmoja wao akaniambia ndugu chukua hiki kimti nawe kitakusaidia mambo yako..kitafune na sema kile unchotaka..kama kuna mtu unamdai sema utaona anarudisha hela fasta..hata ukiwa na kesi tafuna hiki kidogo tu..na hata ukiwekwa ndani wakati unaingia paka kwwnye mlango usiku na nuia maneno utatoka..yaan chochote...
Asee nilifanya na nilifanikiwa mamno mengi sana..ni miaka 3 sasa imepita kale ka mti kaliisha na sikujua ni aina gani ya mti..na yule jamaa alisema huu mti upo msata pekee..mshana unaujua huu mti?..
 
Kuna mahali umetaja msata kuwa ndo control tower..niliwah fika hapo nikiwa na jamaa zangu wawili niliowapa lift baada ya kufika mahali wakaniambia nisimame..wakashuka na kwenda kama kichakan mmoja akasubil mwingine ndo akaingia zaid kichakan na kukata ki mti flan akaja nacho..then akampa mwenzake na kumwambia bas seme kupitia mti huu vile unataks msmbo yawe..jama akasemaaa..nadhan kuna mambo alifanyiwa sasa alikuwa anajinu mapigo...
Alipomaliza wote wakarudi kwwnye gari..mmoja wao akaniambia ndugu chukua hiki kimti nawe kitakusaidia mbo yako..kitafune na sema kile unchotaka..kama kuna mtu unamdai sema utaona anarudisha hela fasta..hata ukiwa na kesi tafuna hiki kidogo tu..na hata ukiwekwa ndani wakati unaingia paka kwwnye mlango usiku na nuia maneno utatoka..yaan chochote...
Asee nilifanya na nilifanikiwa mamno mengi sana..ni miaka 3 sasa imepita kale ka mti kaliisha na sikujua ni aina gani ya mti..na yule jamaa alisema huu mti upo msata pekee..mshana unaujua huu mti?..
Kuna mambo si vema kuyaongea hapa
..hapa ni upenuni mno..nadhani umenisoma
 
Nilipofika hapa nilipewa codes za kuondoka salama, ila nilielekezwa kijiji cha jirani ambako ndio funga kazi...nilitamani kukitembelea pia, ni masaa kama mawili hivi. Unaingia ndani huko, na ndio nikafanikiwa kupata japo hiyo picha hapo juu
Kijiji cha Manda au?
 
Back
Top Bottom