Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Duh, kuna kijiji mpaka treni lilikuwa linapita, wakati mwingine bahari inaonekana na meli kubwa kinoma, maeneo ya Mwanza, ukiwa umechelewa usiku ukapita hicho kijiji hutosahau, yaani mbele unakutana na reli na train inakuja mafuta balaa wakati wa mchana ni vichaka na majaruba ya mpunga tu, na kijito kimepita hayo maeneo, pia wakati mwingine mpaka maghorofa yalikuwa yanaonekana, now watu wanapitaga tu hawaoni chochote, lakini mwanzoni mwa miaka hii ya 2000 ilikuwa balaa.
Mhh, wenzako hawapigi picha huku, we shauri yako!
Kwasunga pasikie tu....kwamsisi panasubili..Mtaalam wa ukweli kwamsisi au vijiji vya Jirani ni nani? Wengi wanasema kwamsisi kumechuja. Nina imani bado atakuwepo mtaalam ambaye hajachuja. Tukubali ushirikina na kurogwa kupo. Tusaidiane hapa wakuuu.
Jamani mengine ni chumvi, labda kijijini sana huko ukweni kwa rafiki zako.Uko tanga nimepavulia kofia Kuna rafiki yangu Kaka yake alioa uko, mke wake alikuwa anaumwa ikabidi aende kumwangalia jamaa aliambiwa na wazazi wa mke wake hasitoke nje wasije kumjalibu week mzima jamaa yuko ndani.
Ni home lakini ninakumbuka majirani waliwahi kutuuliza kama sisi Wakritu tukilogwa hatufi?Huo ukanda kilingeni unaitwa central corridor haurembi haukosei haubahatishi wala haurembi
Huko kuna madogo wanajua uchawi kama mtu anavyosifika kwenye mpira akiwa anachipukia....mmmh...Ni home lakini ninakumbuka majirani waliwahi kutuuliza kama sisi Wakritu tukilogwa hatufi?
Hahaa unajua unapobatizwa na kumkubali Yesu katika maisha yako either uwe mdogo au mkubwa, unavalishwa vazi jeupe na unaahidi unamkataa shetani na mambo yake yote. Kama hutashiriki katika uchawi, hata ulogwe unadunda, lakini ukianza kusema sijui "jilinde na mimi nitakulinda". Hapa unatia madoa katika vazi na ni rahisi wachawi kukupata.Huko kuna madogo wanajua uchawi kama mtu anavyosifika kwenye mpira akiwa anachipukia....mmmh...
Hayo maeneo ukifika kuondoka kwake kama uko kiwanja cha ndege, mpaka control tower wakupe ruhusa sasa unaweza ukapaa....
Hapo ndo mwanzo mwisho..mchana kweupe unaweza ukabaki umeduwaaaaa...kwengine kopiKwa hiyo Mkuu hapo Gambushi haitii mguu sio?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiku wangu umekuwa mzuri sana,asante mkuu.Nakumbuka tulikuwa tunakunywa ndani ya kibanda barabarani kuna mtu alikuwa anapita alipiga mweleka wa kufa mtu halafu kwa pembeni mtoto mmoja akawa anamwambia mwenzie si nilikuambia hii kiboko aliyonipa bibi, sikuwaelewa muuza chai akasema tuwe na adabu hata kwa kitoto kidogo akiwa na maana huyo mtoto alipewa kitu kipya na bibi yake sasa alikifanyia majaribio kwa kumwangusha yule mpita njia
AmenNinakumbuka tulikwenda home na sister, alikuwa na mtoto mdogo, ikifika saa nane mtoto analia mpaka saa tisa. Kumbe pale ndiyo ulikuwa mkutano wao, ni raha unavyoanza kuwagalagaza na mistari ya Isaiah na Samuel, kesho wakikuona wanaona aibu hata kukuangalia usoni.
simiyu mkuuTujuzane wakuu.. Mkoa gan n wilaya gani!?
Hapo ndo mwanzo mwisho..mchana kweupe unaweza ukabaki umeduwaaaaa...kwengine kopi
Hizi hadithi zimewateka wengi kweli kweliHahaa unajua unapobatizwa na kumkubali Yesu katika maisha yako either uwe mdogo au mkubwa, unavalishwa vazi jeupe na unaahidi unamkataa shetani na mambo yake yote. Kama hutashiriki katika uchawi, hata ulogwe unadunda, lakini ukianza kusema sijui "jilinde na mimi nitakulinda". Hapa unatia madoa katika vazi na ni rahisi wachawi kukupata.