Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Mimi siogopagi mambo hayo,nikifika huko lazima niwaonyeshe kuwa mimi sio mtumwa wao.Nakumbuka tulikuwa tunakunywa ndani ya kibanda barabarani kuna mtu alikuwa anapita alipiga mweleka wa kufa mtu halafu kwa pembeni mtoto mmoja akawa anamwambia mwenzie si nilikuambia hii kiboko aliyonipa bibi, sikuwaelewa muuza chai akasema tuwe na adabu hata kwa kitoto kidogo akiwa na maana huyo mtoto alipewa kitu kipya na bibi yake sasa alikifanyia majaribio kwa kumwangusha yule mpita njia
Tanga wilaya ya Handeni. Kila baada ya nyumba tatu kuna mgangaTujuzane wakuu.. Mkoa gan n wilaya gani!?
Asee nimecheka atari, kwahiyo ukichelewa imekula kwako,akikuna tako na wewe kuna ,ila zongo halina adabu, nikwetu ila napaogopa aseeHuko cha kwanza niliambiwa ukimuona mtu akuangalia sana hilo ni zongo. Sasa dawa yake akikuna ziwa nawe kuna, akikuna nywele nawe kuna mda huo huo akikuna paja Fanya hivyo Ukichelewa tuu imekula kwako....huko ni kuishi kwa machale mwanzo mwisho...nashukuru mungu nimerudi salama
Mshana mimi nimefika machala ipo kata ya miono huko napo wapo njema sana unapajuaMuch respect hapa mahali...paone hivyo hivyo na vijumba vyake hivyo...Gambosh cha mtoto...wazee wa vilinge watanielewa vema...hapo ni international airport backup yake na control tower viko msata[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji83] [emoji83] [emoji83]
Waroge viongozi wao wawaletee maendeleoNatamani ningepata time niende nikazingue hapo then nichimbe yan amna kitu siogopi kama uchawi labda siku nirogwe ndio ntaamini an they can't mess with me..
Kwamsisi kwamsisi Kama wanauwezo siwangeendelea ngedere wakubwa [emoji95]
Kwankwalekwamsisi, kwasunga, kwamdulu, kwedikwazu,kwedizinga, komkonga, kabuku, kwamngumi,kwamsumi, manga, kwamkono........
wanadumisha mila zao
Ni kwedikwazu sio kwedikabu.Kwedikabu, kwamungu, hivyo vijiji pia ni moto
Ni kwedikwale bhn
Saivi kuna Nacharo na kiluwa. Wote hawa ni matajiri wa Mkata.Simba mtoto yupo tanga mjini mkuu handeni kuna hajees
Mgosi kwema..?hahaKasoro mimi[emoji81] [emoji81] [emoji81]
Huyu kiluwa kwao ni lushotoSaivi kuna Nacharo na kiluwa. Wote hawa ni matajiri wa Mkata.
Muulizeni Mshana
Hayo maeneo ukifika kuondoka kwake kama uko kiwanja cha ndege, mpaka control tower wakupe ruhusa sasa unaweza ukapaa....
Simba mtoto yupo tanga mjini mkuu handeni kuna hajees
Kwamkanje, Kwediaziwa, Kwamgwe, Kwanwande, Kwabaya ndio mitaa ya kujidai hiyoooo
Mshana mimi nimefika machala ipo kata ya miono huko napo wapo njema sana unapajua